• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

FANYIENI KAZI RIPOTI ZA TATHIMINI

Posted on: September 13th, 2023

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt.Dotto Mashaka Biteko, amewaagiza wataalamu wanaohusika na ufuatiliaji na tathimini za utendaji wa Serikali kuzifanyia kazi Ripoti zote ili kuongeza ufanisha katika utendaji.

Kauli hiyo ameizungumza alipokuwa akifungua Kongamano la Kitaifa la ufuatiliaji, tathimini na mafunzo kwa taasisi mbalimbali za Serikali, Jijini Arusha.

"Mtu asiyejifanyia tathimini anakuwa ameduwaa tu wakati wote na anakuwa mtu wa hasara maana anakosa mwelekeo wa mambo yake",alisema.

Kongamano hilo litaisadia Serikali kujiwekea malengo yanayotekelezeka na kwa wakati.

Vilevile Serikali inatasaidia kubaini changamoto zinazoikabili Serikali na Taifa kwa ujumla na hivyo kurahisisha utatuzi wake kwa haraka.

Akisisitiza zaidi Mhe Biteko ametaka kuanzishwa kwa mfumo wa ufuatiliaji na tathimini wenye kuleta uwiano ambao utaende sambamba na sera yake kwa ufanisi ulio bora zaidi.

Kwa upande wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama amesema mada zitakazozungumziwa katika Kongamano hilo zitachochea maswala ya Utawala bora,TEHAMA na kuongeza uwazi wa utendaji wa Serikali.

Nae, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt.Jim Yonazi amesema Kongamano hilo limejimuisha takribani washiriki 524 kutoka taasisi mbalimbali za Serikali.

Lengo kubwa la kongamano ni kuwajengea uwezo, kujifunza na kufuatilia matokeo kwa njia sahihi huku wakichambua utendaji kazi wa Serikali.

Kongamano la Kitaifa la ufuatiliaji, tathimini na Mafunzo linafanyika kwa siku 3 Jijini Arusha na linatarajiwa kufungwa rasmi Septemba 14,2023.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa