• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

FEDHA ZA LISHE ZIKAFANYE KAZI ZA LISHE TU- RC MONGELLA

Posted on: August 10th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amewataka viongozi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha kuhakikisha fedha za lishe wanazozitenga zinafanya kazi za lishe pekee.

Ameyasema hayo kwenye kikao cha tathimini cha  lishe Mkoa wa Arusha.

Halmashauri nyingi zimeonesha kutekeleza afua ya utoaji fedha kwa watoto chini ya miaka 5 lakini changamoto ni uhakika wa fedha hizo kutumika katika kazi husika.

"Viongozi wa Halmashauri hakikisheni na mkasimamie fedha za lishe kwa umakini hasa kwa matumizi yaliyopagwa, itakuwa haina maana Halmashauri ipate asilimia 100 ya utoaji fedha wakati hazijawafikia walengwa", alisema.

RC Mongella, amesisitiza kuwa utoaji wa fedha hizo uwe wa mapema zaidi kuliko kusubiria mwisho wa mwaka ndio Halmashauri inazitoa zote, kwani kwa muda huo inakuwa vigumu kwenda kutekeleza kazi husika.

Swala la ufuatiliaji wa fedha hizo liwe jukumu la kila mtu ili tuweze kupata matokea mazuri zaidi.

Aidha, amesema swala la lishe ni nyeti na ili lifanikiwe inabidi lifanywe kwenye shughuli za kila siku.

Nae, Katibu Tawala Mkoa wa Arusha bwana Missaile Musa amezitaka halmashauri za Mkoa wa Arusha kufuta rangi ya njano na nyekundu katika kadi ya kupimia afua za lishe.

Amesema kwa kufanya hivyo hali ya lishe Mkoa itapanda zaidi.

Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Silvia Mamkwe amesema yeye na timu yake wataenda kusimamia sekta ya lishe kwa umakini zaidi ili kuweza kupunguza kiwango cha udumavu kwa kiasi kikubwa katika Mkoa.

Afisa lishe Mkoa wa Arusha Bi. Rose Mauya, ametoa msisitizo wa Halmashauri kuhakikisha zinatenga fedha za lishe kutokana na uhalisia ili iwe rahisi kutekelezeka

Kikao cha nusu ya pili cha tathimini ya lishe kwa Mkoa wa Arusha kwa Mwaka 2021/2022 kimefanyika kikiwa kimejumuisha wakuu wa Wilaya, wakurugenzi na wataalamu mbalimbali kutoka ngazi ya Mkoa, Wilaya, Halmashauri na taasisi binafsi.





Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa