• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

FUATENI MAADILI YA UWANDISHI WA HABARI

Posted on: September 29th, 2020

Waandishi wa habari wa Redio jamii wametakiwa kutumia taaluma yao katika kujenga nchi ambayo imejengwa kwa muda mrefu ikiwa na umoja, amani na mshikamano.

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Kimanta alipokuwa akifungua kikao kwa vyombo ya habari vya redio za kijamii katika siku ya upatikanaji wa habari.

Amewataka wakazingatie maadili ya taaluma zao katika utoaji wa habari zao ili jamii iweze kupata taarifa za kuwaelimisha na kuijenga jamii husika katika nyanja mbalimbali.

Aidha, amewashauri katika utoaji wa taarifa zao wajitaidi kuonesha jinsi nchi yetu inavyojenga mahusiano na nchi nyingine.

Kimanta amesema, waandishi wa habari wakifanya kazi zao kwa weredi itawasaidia kuwajengea heshima wao kama wao na vyombo vyao vya habari.

Amesisitiza kwa waandishi wa habari kuzingatia usalama wao kwanza wakati wanafanya kazi zao za kiuwandishi wa habari.

Nae, Mkurugenzi wa taasis ya Maendeleo ya habari Tanzania (TADIO) bwana Prosper Kwigize amesema, kila mwaka taasis yake inasimamia siku ya upatikanaji wa habari dunia kila ifikapo Septemba 28 kwa lengo la kuhakikisha vyombo vya habari vinapata nafasi ya kupaza sauti kwa kueleza mambo mbalimbali yanayowahusu.

Hata hivyo bwana Kwigize, amesema vyomo vya habari hususani redio za kijamii zinatakiwa kufuata maadili ya uwandishi wa habari, ili kazi hiyo iweze kunufaisha jamii zetu za Kitanzania.

Amesema changamoto kubwa wanazokumbana nazo waandishi wa redio jamii ni waandishi wa habari wengi kutokuwa na ajira rasmi katika vyombo vyao na hivyo kuwafanya kutokuwa na uhakika wa ajira zao.

Kikao cha kuadhimisha siku ya upatikanaji habari duniani kimewakutanisha wanachama wa taasis hiyo ya TADIO ambao ni radio za jamii na kuweza kujadili muktaza na mwelekeo wa vyombo hivyo vya habari hususani kipindi hiki cha  kuelekea kwenye uchaguzi.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa