• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

HAYATI EDWARD LOWASSA ATAKUMBUKWA KWA UZALENDO NA UCHAPAKAZI

Posted on: March 24th, 2024


Na. Elinipa Lupembe 


Mkuu wa mko wa Arusha Mhe.John V.K Mongella, amesema Hayati Edward Lowassa atakumbukwa na wakazi wa mkoa wa Arusha kutokana na uzalendo na uchapakazi wake, ambao umechangia maendeleo na mafanikia ya mkoa wa Arusha


Mhe. Mongella ameyasema hayo, wakati akitoa salamu za Mkoa wa Arusha, kwenye ibada Maalum ya Shukrani ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Ngoyai Lowasa, iliyofanyika kwenye kanisa la KKKT Usharika wa Monduli Leo Machi, 24, 2024.


Amesema kuwa, Kwa niaba ya wananchi wa Mkoa wa Arusha, Hayati Edward Ngoyai Lowassa ataendelea kukumbukwa kwa mambo makubwa aliyoyafanya mkoani Arusha, ikiwa ni pamoja na mchango wake mkubwa kwa maendeleo ya mkoa na wananchi wa mkoa wa Arusha.


"Kwa niaba ya wananchi wa Mkao wa Arusha, tutaendelea kuyaenzi maisha ya mzee Lowassa, kwa kazi kubwa aliyoifanya katika mkoa wa Arusha, na tutaendelea kushirikiana na familia mama na watoto". Ameweka wazi Mhe.Mongella. 


Aidha, ameishukuru familia kwa kuwakaribisha kwenye ibada hiyo muhimu, licha ya kutoa pole kwa familia amewataka wanafamilia kuendelea kumtegemea Mungu


Awali, familia ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Ngoyai Lowassa imeandaa ibaada ya shukrani, kwenye kanisa la KKKT Usharika Monduli, inaada iliyoongozwa na Msaidizi wa Askofu KKKT Dayosisi ya Kaskazin Kati, Mchungaji Lareton Loishiye.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa