• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ITUNZENI NA KUILINDA MIRADI HII YA MAJI-RC KIMANTA

Posted on: September 8th, 2020

Wananchi wa kata ya Kansay wametakiwa kuilinda na kuitunza miradi ya maji waliyoletewa na serikali ili iwasaidie vizazi hadi vizazi.

Maelekezo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta alipokuwa akikagua na kuzindua miradi ya maji katika Kijiji cha Kansay na Kambi ya Faru, wilayani Karatu.

Amesema zaidi ya milioni 125 zimetolewa katika ujenzi wa mradi wa maji katika Kijiji cha Kansay na milioni 15 katika Kijiji cha Faru ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika na kutoa maji.

Kimanta amesema, Serikali ya awamu ya tano inaendelea kuhakikisha inatekeleza kauli mbiu ya “Mtue mama ndoo ya maji” katika maeneo mengi ya nchi ikiwemo wilaya ya Karatu.

Mradi wa maji wa Kijiji cha Kansay utawafikia wananchi takribani 4768, shule 3 na kituo cha afya kimoja, wakati katika Kijiji cha kambi ya Faru mradi huo utawafikia wananchi takribani 3500, mifugo 2000 na shule 2.

Nae, kaimu mkuu wa kitengo cha wakala wa usambazaji maji na usafi na mazingira vijijini (RUWASA) wilaya ya Karatu Daudi Mwenduganga amesema,miradi hiyo ya maji imeweza kusaidia kupunguza magonjwa ya milipuko katika vijiji hivyo.

Pia, upatikanaji wa maji umeweza kusaidia kuokoa muda wa wanafunzi wengi katika kutafuta maji na badala yake wanautumia muda huo katika masomo yao.

Hali kadharika, faida ya miradi hiyo ya maji imewasaidia wamama kupata muda wa kufanya shughuli nyingine za maendeleo ukilinganisha na kipindi cha nyuma walikuwa wanapoteza muda mwingi katika kutafuta maji kwa umbali umrefu takribani kilometa 6 hadi 8.

Mwenyekiti wa kamati ya maji Kijiji cha Kansay bi. Thekla Bayo na mwenyekiti wa Kijiji cha kambi ya Faru bwana Israeli Dafi wamesema, wameishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwaletea maji baada ya kuangaika zaidi ya miaka 7.

Wamesema wapo tayari kushirikiana na wanakijiji kuilinda na kuitunza miradi hiyo ili isiaribiwe.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, yupo katika ziara ya kikazi katika wilaya ya Karatu ambapo, amekagua miradi mbalimbali ikiwepo ukarabati na ujenzi wa miradi ya maji na hospitali, wilayani humo.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa