• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

JESHI LA POLISI ARUSHA; LATEKELEZA MAAGIZO YA RC MAKONDA

Posted on: May 20th, 2024

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha,  limesema lipo tayari kushirikiana na Mkuu wa Mkoa na wakuu wa wilaya zote za Mkoa wa Arusha kwenye kuhakikisha haki za wananchi zilizopotea zinapatikana kwa haraka kulingana na maelekezo yatakayotolewa.


Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha,  Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Justine Masejo ametoa taarifa hiyo wakati  akizungumzia utekelezaji wa maagizo mbalimbali ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda, kufuatia Kliniki ya Rejesha Haki iliyohusisha kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi iliyofanyika Mei 8-10 mwaka huu.


Kamanda wa Polisi amesema kuwa,  miongoni mwa kesi walizozishughulikia ni pamoja na ukamataji wa magari ya kubeba mizigo yanayomilikiwa na wanandoa wa zamani yaliyokuwa yanaharibiwa na kuuzwa kwa spea na aliyekuwa Mume wa Mwalimu Sabina John Mosi.


Mei 08, 2024 Mwalimu Sabina alifika Mbele ya Mkuu wa Mkoa na kumueleza kuwa wakati wa mahusiano yake na Julius Mwase walifanikiwa kuwa na mali kadhaa ikiwemo nyumba na magari na baada ya kutengana aliyekuwa mume wake alianza kuuza spea za magari waliyokuwa wanamiliki kinyume na sheria na taratibu za umiliki.


Baada ya kusikilizwa, Mhe. Mkuu wa Mkoa aliliamuru Jeshi la Polisi kushikilia magari hayo wakati wakisubiri kusikilizwa kwa shauri la madai ambalo limepelekwa mahakamani na Mwalimu Sabina.


Jeshi la Polisi tayari linayashikilia magari hayo kwenye kituo kikuu cha Polisi wa usalama barabarani na Kamanda Masejo anasema wanasubiri maamuzi ya Mahakama na kile ambacho watakiamua kuhusu umiliki wa magari hayo.

@ikulu_mawasiliano @maelezonews @baba_keagan @msemajimkuuwaserikali @samia_suluhu_hassan

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa