• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YAAGIZA KUKAMILISHA MIRADI VIPORO SEKONDARI AMSHA.

Posted on: March 20th, 2024


Wajumbe wa Kamati ya Siasa mkoa wa Arusha, wametembelea na kukagua miradi shule ya Sekondari Amsha, kata ya Ambureni, halmashauri ya Meru, wilaya ya Arumeru na kuuagaza uongozi kukamilisha miradi yote viporo mpaka kufikia kufikia Aprili 2024.


Maagizo hayo yamekuja baada Kamati hiyo kukagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu, jengo la utawala na maabara  ya masomo ya Sayansi, miradi ambayo inayotekelezwa na fedha za Mapato ya ndani ya halmashauri hiyo.


Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Loy Ole Sabaya amesema kuwa, kumekuwa na miradi mingi viporo katika shule hiyo, miradi ambayo imezua malalamiko mengi miongoni mwa wananchi inayotokana na kutokuelewana miongoni mwao, na kuwasisitiza kukamilisha miraci hiyo ifikapo mwezi Aprili, 2024 ili kuondoa malalamiko yaliyopo.


Hata hivyo, Mwenyekiti Sabaya amewataka wananchi hao, kuachana na malumbano kwa kuwa yanachelewesha na kurudisha nyuma maendeleo na kuwasihi kusikilizana na kunia mamoja ili kwa kuwa, kwa sasa lengo la serikali na watanzia ni maendeleo na sio malumbani.


"Wananchi wa Ambureni, wacheni malalamiko na malumbano yasiyokwisha, kama malalamiko yalishatolewa maamuzi ni vyema kuwachana na mambo ya zamani na kuanza upya kwa ajili ya maendeleo ambayo ndio lengo la Serikali, kaeni pamoja kubalieni" Amesema Sabaya


Awali, Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe.John V.K Mongella, ameahidi kusimamia utekelzaji wa maagizo hayo ya kamati ya Siasa kwa kumtaka Mkurugenzi wa halmasahuri ya Meru kuhakikisha miradi yote viporo shuleni hapo inakamilika, ikiwa na viwango vya ubora vilivyokulika kulingana na thamani ya fedha.


"Miradi hapa imechelewa na wapo ambao walihujumu na kutumia fedha vibaya, ninakuagiza Mkurugenzi hakikisha miradi inakamilika yote huku majengo yote yakiwa yamewekwa sakafu ya malumalu 'tiles' kama yalivyo makubaliano yetu ya mkoa kwenye miradi yote".Amesema Mhe. Mongella


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa