• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA WALIMU SEKONDARI AYALABE

Posted on: March 9th, 2024


Wajumbe wa Kamati ya siasa mkoa wa Arusha, wametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu yenye kuishi familia mbili (2in1), shule ya sekondari Ayalabe, kata ya Ganako, halmashauri ya wilaya ya Karatu, ikiwa ni ziara ya kawaida ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020 - 2025


Mwenyekiti amepongeza usimamizi mzuri wa mradi uliokamilika kwa viwango vya ubora unaoendana na thamani ya pesa huku wakibakiza fedha kiasi cha shilingi milioni sita.


"Tuwapongeze kwa ushirikiano ma kusimamia mradi vizuri, mradi ni mzuri unaonekana hata kwa macho, mmebakiza fedha za kufanya vitu vingine, lakini bado mna mipango mizuri ya kukamilisha miradi ambayo haijakamilika hapa,  hongereni sana" Mwenyekiti Sabaya.


Diwani wa kata ya Kensay, amesema kuwa, kiasi hicho cha fedha kilichosalia kitatumika kukamilishia miradi viporo na kuongeza kuwa, tayari wameshaweka bajeti ya milioni 140 kukamilisha ujenzi wa majengo mengine viporo yaliyosalia shuleni hapo.


Ujenzi wa nyumba hizo za walimu umegharimu kiasi cha shilingi milioni 98, fedha kutoka Serikali Kuu, kupitia mradi wa kuboresha miundombinu ya shule za sekondari nchini (SEQUIP), nyumba ambayo tayari imekamilika na walimu wanaishi kwenye nyumba hiyo.


Lengo la mradi huo ni kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzi kwa walimu na wanafunzi kwa kuwawezesha walimu kuishi ndani ya eneo la shule, kwa kuwapunguzia umbali wankutembea pamoja na gharama za kulipa kodi ya nyumba nje ya eneo la shule.


#arushafursalukuki 




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa