• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KILA MWANANCHI ANA HAKI YAKUPATIWA HATI MILKI YA ARDHI-LUKUVI

Posted on: June 25th, 2020

Kila mwananchi anaemiliki ardhi anatakiwa kuhakikisha amepata hati miliki ya ardhi yake ndani ya siku 90 baada ya zoezi la upimaji kukamilika kipindi cha nyuma katika eneo lake na siku 7 kwa aliyepimiwa hivi karibuni.

Yamesemwa hayo na Waziri wa ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvu alipokuwa akifungua ofisi mpya za ardhi kwa Mkoa wa Arusha na kugawa hati miliki kwa wananchi wapatao 200 kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Arusha mapema leo hii.

Amesema kila mwananchi anaemiliki ardhi ana haki ya kupatiwa hati miliki ili aweze kuwa mmiliki halali wa eneo husika.

Lukuvu amesema pia hata waliojenga mijini nao wanahaki ya kupatiwa hati miliki baada ya kupimiwa na kulasimishwa kwa maeneo yao.

Kutokana na kufunguliwa kwa ofisi za ardhi za Mkoa Lukuvu amesema, huduma zote za ardhi zitakuwa zinapatikana hapo na kuwataka wananchi wote kuzitumia kwa changamoto zao zote za maswala ya ardhi.

Nae, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Idd Kimanta amesema atahakikisha migogoro yote ya ardhi anaitatua na itabaki kuwa historia tu kwa mkoa huu.

Amesema serikali ya Mkoa itahakikisha inatoa ushirikiano mkubwa kwa ofisi hiyo ya ardhi hasa kwa kuhakikisha ndani ya siku 7 inaipatia ofisi kubwa ya kukidhi mahitaji yao.

Pia, ametoa fursa ya kuongeza siku za kusikiliza malalamiko kwa wananchi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa kutoka siku 2 za awali hadi siku 5 za kazi katika wiki nzima.

Aidha, amewataka wananchi wote wa Mkoa wa Arusha kuhakikisha wanaitumia hiyo ofisi vizuri katika kutatua matatizo yote yanayowahusu kuhusu maswala ya ardhi.

Katibu Mkuu Wizara ya ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bi. Doroth Mwanyika amesema,lengo kubwa la kuanzisha ofisi hizi za ardhi katika mikoa ni maelekezo ya Mheshimiwa Rais kwa lengo la kusogeza huduma karibu kwa wananchi.

Pia,kuhakikisha kero zote za wananchi zinatatuliwa kwa wakati na kuleta maendeleo kwa wananchi.

Mpango wa kufungua ofisi za ardhi za Mikoa unatekelezwa katika Mikoa yote ya Tanzania bara kwa nia ya kuwapunguzia wananchi usumbufu wa kufuata mchakato hadi Wizarani.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa