• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

KONGAMANO LA KWANZA LA WANAMIPANGO MWAKA 2023, LAFANYIKA ARUSHA; RC MONGELLA AWAKARIBISHA ARUSHA..

Posted on: November 27th, 2023

Na Elinipa Lupembe.


Kongamano la kwanza la Wanamipango nchini mwaka 2023, linafanyia mkoani Arusha, mara baada ya Serikali ya awamu ya Sita, kurejesha Wizara ya Mipango na Uwekezaji, chini ya Ofisi ya Rais, na kufunguliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko (MB), kwenye Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha


Akizungumza kwenye mkutano huo, Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K.Mongella ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kurejesha, Tume ya Mipango na Uwekezaji huku Kongamano la kwanza la Wanamipango nchini likifanyika Mkoani Arusha na kuipongeza, Wizara ya Mipango na Uwekezaji kwa kuchagua Mkoa wa huo kuwa mwenyeji wa Kongamano hilo.


Mhe. Mongella amekiri kutambua umuhimu wa kupanga kuanzia ngazi ya mtu binafsi, familia, Taasisi hadi Taifa, mipango inayowezesha kutoa huduma, kulingana na uhitaji ili kuleta maendeleo na kuongeza kuwa, amekuwa akiwasisitiza wataalam wa Mkoa na ngazi zote za Arusha, kuhakikisha wanakuwa na mipango ya pamoja inayotekelezeka ili kuleta maendeleo kwenye jamii zinazohudumiwa.


"Binafsi ninaamini kushindwa kupanga ni kupanga kufeli, kwa kuzingatia hili, kila Mwana mipango analo jukumu la kuimarisha mipango inayozingatia mahitaji ya jamii na rasilimali zilizopo"


Aidha, ameutaja umuhimu wa Kongamano hilo, likiwa  limekusanya Wataalam na Wadau wa mipango kutoka sehemu mbali mbali za nchini, wakiwa na lengo la kujengeana uwezo na kutengeneza mfumo mzuri wa upangaji kwa maendeleo ya Taifa letu.


Aidha ametumia fursa hiyo, kuwakaribisha Wanamipango mkoani Arusha, mkoa ambao ni kitovu cha Utalii na kuwataka, washiriki kutembelea vivutio vya utalii ili kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais za kukuza utalii nchini na kuwahakikishia usalama wa washiriki wote kwa kipindi chote watakapo kuwa mkoani hapo.


"Kwa niaba ya wananchi wa Arusha, na Uongozi wa Mkoa, tupo tayari kutoa ushirikiano muda wote tutakapohitajika, ninawasihi washiriki mpatapo nafasi msisite kutembea kujionea mandhari nzuri ya Mkoa wetu" Amesema Mhe. Mongella.


Kongamano la  Wanamipango mwaka 2023, limefunguliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko (MB), linalofanyika kwa siku 4, kwenye Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha (AICC), lenye Kauli Mbiu ya "Fikra za Pamoja na Utekelezaji, Ulioratibiwa kwa Ustawi Jumuishi"




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa