• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Madiwani wa Halmshauri ya Wilaya ya Karatu waomba wadau wa maendeleo kushirikiana kwa pamoja kufungwa mifumo ya kieletroniki ya ukusanyaji mapato

Posted on: June 18th, 2024


Madiwani wa Halmshauri ya Wilaya ya Karatu wameomba wadau wa maendeleo kushirikiana kwa pamoja kwaajili ya kufungwa mifumo ya kieletroniki ya ukusanyaji mapato (GoTHOMIS) katika vituo vya afya vituo 41 vilivyopo wilayani hap.


Ombi hilo, limetolewa na madiwani hao katika Baraza Maalum la kujibu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2022/23, ambapo Diwani wa Kata ya Baray, Elitumaini Magnus amesisitiza ufungwaji wa mfumo huo ili kuongeza kasi ya ukusanywaji mapato hayo kwani hivi sasa halmshauri hiyo imefunga mfumo huo katika vituo vya afya 7 kati ya vituo 34 ambayo bado havijafungwa.


Naye Mganga Mfawidhi wa Wilaya ya Karatu, Dkt. Victor Kamazima amekiri ni kweli vituo vituo 7 tu kati ya 34 ndio vimefungwa mfumo huo wa GoTHOMIS na kuongeza kuwa mwaka huu wa fedha kabla haujaisha wametenga kiasi cha fedha shilingi milioni 34 kwaajili ya kununua vifaa vya awali ikiwemo kompyuta kwaajili ya kuanzia.


Dkt. Kamazima ameongeza kuwa, kwa mwaka ujao wa fedha wametenga kiasi cha fedha shilingi milioni 43 kwaajili ya ufungaji wa vifaa vya kisasa kati ya vituo 41 vilivyobaki na kusisitiza kuwa mchakato wa kufunga mfumo huo unaendelea kadri bajeti itakavyowaruhusu kulingana na mapato wanayokusanya katika kila kituo cha afya.


Hata hivyo, Madiwani hao wamependekeza miradi iliyokaa kwa muda mrefu bila kutekelezwa itekelezwe kwa kubadilishiwa matumizi au fedha zitafutwe ili kuhakikisha miradi hiyo itekelezwe ikiwemo bweni la shule ya sekondari ya Ganako na kituo cha afya cha Mbuganyekundu kikamilike.


Naye Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Missaile Musa amesisitiza hadi Septemba mwaka huu mfumo huo ufungwe kwani unapoteza mapato mengi kwa serikali na kusisitiza madeni ya watumishi na wazabuni kulipwa kwa wakati ili kuondoa malalamiko kwa watoa huduma katika wilaya hiyo.


"Lipeni madeni ya wazabuni na watumishi ikiwemo utunzaji wa kumbukumbu za wadaiwa wenu maana kuna mahali ukifuatilia kumbukumbu za madeni wanayodai wazabuni mengine huyaoni hivyo hakikisheni mnalipa mnayodaiwa". Amesema.


Kwa upande wake, Mwekahazina wa Halamshauri ya wilaya hiyo, CPA. Liberatus Kazungu, amesema halmshauri ya hiyo

May be an image of 2 people

May be an image of 6 people and people studying

May be an image of 6 people, dais and text that says 'ប្ការម្ពុជា Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa WILAYA YA KARATU "WEKEZA YARATU, FURSA KWA AJILI YAKO" Kazi iendelee! UVUV KILIMO UFUGAII'

May be an image of 7 people, people studying, dais and text

May be an image of 1 person and dais

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa