• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MAKATIBU WA AFYA NCHINI WAUNGA MKONO  PROGRAMU YA TANZANIA THE ROYAL TOUR...

Posted on: June 2nd, 2024

Na Elinipa Lupembe.


Makatibu wa Afya Nchini, wameamua kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Programu ya Kuhamasisha Utalii kwa kutembelea Hifadhi ya Ngorongoro, mara baada ya kukamilisha mkutano wao wa mwaka 2024, uliofanyika kwa siku 5 mkoani Arusha


Makatibu hao wa Afya, wametembelea Hifadhi hiyo ya Ngorongoro mara baada ya kukamilisha Utalii wa Mkutano Arusha na kukamilisha kwa utalii wa maliasili, lengo likiwa kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita inayohamasisha Utalii


Katibu Mkuu wa (AHAST) Frank Omolo, amesema kundi hilo la Makatibu wa Afya, limeamua kutumia sehemu ya Mkutano wao wa mwaka 2024 kutembelea Hifadhi ya Ngorongoro licha ya kuwa ni sehemu ya burudani kwao, wamefurahishwa kwa kuwa sehemu ya kuchangia pato la Taifa kupitia Utalii.


"Tumeshuhudia namna gani nchi yetu inavivutio vya asili ambavyo huwezi kupata sehemu nyingine duniani, niwahamasishe watanzania kujivunia nchi yetu kwa kutembelea vivutio vyetu ikiwa ni sehemu ya kuchangiq pato la Taifa letu lakini zaidi kumuunga mkono juhudi za Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan" Amesisitiza Okolo.


Hata hivyo Makatibu hao wa Afya wamevutiwa na safari yao ya kitalii kwenye hifadhi hiyo huku wakisisitiza kupata uelewa mkubwa na kuhaidi kwenda kuhamasisha wengine kutembelea Hifadhi hiyo na vivutio vingine vya Utalii vinavyopatikana nchini


Doris Mponela Katibu wa Afya Mbeya, amebainisha kufurahia muda wake kutembelea Hifadhini na kukiri akili yake kupata pumziko huku akiahidi kurudi ofisini kwake na kuhalasisha watumishi na watanzania wengine kufanya Utalii wa Ndania kA kutembele vivutio vya utalii vinavyopatikana Tanzania


Mkutano wa Chama cha Makatibu wa Afya Tanzania mwaka 2024, umefanyika mkoani Arusha kwa siku tano wenye lengo la kujengeana uwezo na kubadilishana uzoefu wa kazi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa