• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Mhe. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KUFUNGUA JUKWAA LA KODI NA UWEKEZAJI FEBRUARI 2024.....

Posted on: February 21st, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufungua jukwaa la kodi na uwekezaji la mwaka litakalo fanyika Jijini Dar es salaam mwezi Februari,2024, lenye lengo kukusanya maoni kutoka kwa wadau na wananchi ili kusaidia kuandaa bajeti ya mwaka ujao wa fedha 2024/2025.


Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, kwenye ofisi za Hazina ndogo Jijini Arusha, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Elijah Mwandumbya amesema kuwa, Kongamano hilo litakalokutanisha zaidi ya wadau 800 , wakiwemo wafanyabiashara, mabalozi, wadau wa sekta binafsi wa ndani na nje ya nchi, ikiwa ni utaratibu wa kawaida wa utoaji wa maoni yao kwa ajili ya kuandaa bajeti ya mwaka wa fedha unaofuata.


Mwandubya, ameyataja malengo ya jukwaa hilo ni pamoja na kuangalia mustakabali wa ulipaji wa kodi, hali ya uchumi na uchumi jumuishi, kuangalia wafanyabiashara  wapya na kuwa na utaratibu imara wa kuziwezesha biashara zao kukua na kuongeza kuwa,  tayari wameshakusanya maoni kwenye Kanda mbalimbali nchini, na Februari  27 na 28 itakua ni kilele cha kukusanya maoni hayo." Amesema.


Hata hivyo, ameweka wazi kuwa, tangu kuanzishwa kwa jukwaa hilo, kumekuwa na mafanikio makubwa,  ikiwemo ukusanyaji mzuri wa mapato, ambapo kwa kipindi cha mwezi Disemba mwaka 2023, serikali ilikusanya shilingi Trilioni sawa na 12%.


Ameongeza kuwa, licha ya mafanikio hayo, bado kuna changamoto mpya zinazojitokeza na wizara inazitafutia ufumbuzi, ikiwa ni sehemu ya majukumu yao ya kuongeza na kuchochea ufanisi, katika kipindi cha maboresho ya kukuza uchumi wa Taifa, na  kuhakikisha pato la Taifa linakua.


"Maboresho yanayoendelea ni pamoja na msamaha wa kodi ya ongezeko la thamani kwa uuzaji wa nyumba mpya zisizozidi thamani ya shilingi milioni 50, pamoja na  vifaa vinavyobadili magari kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye gesi, kuongeza ushindani kwa kuwasajili wafanyabiashara  wenye mitaji ya shilingi milioni 200 kwenye mfumo wa ulipaji wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT)" Amebainisha Mwandumbya


Awali, jukwaa hilo lilifanyika Kitaifa kwa mara ya kwanza Januari 11, 2023 Jijini Dar es Salaam , maoni yaliyopokelewa yalisaidia kuandaa bajeti ya Serikali, inayotekelezwa mwaka wa fedha 2023/2024

May be an image of 1 person, dais and text

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa