• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MHE. SAGINI: WANANCHI ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

Posted on: February 25th, 2024


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Jumanne Sagini (Mb) amewataka wananchi kufuata Sheria za Usalama Barabarani ili kuepusha ajali zisisokuwa za lazima


Mhe. Sagini amesema hayo wakati akizungumza na wafiwa ndugu jamaa na marafiki waliofika kwenye chumba cha maiti kwa ajili ya kuwachukua ndugu zao waliofariki kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Ngaramtoni wilaya ya Arumeru Februari 23, 2024.


Amesema kuwa uchunguza wa awali wa ajli hiyo unaonesha, kuna uzembe mkubwa wa madereva wanaoendesha vyombo vya moto ikiwemo wa magari na bodaboda  uliosababisha ajali iliyotekea na kupotewpza masiha ya watanzania na raia wa nje.


Amewataka watanzania wote kuhakikisha wanazingatia sheria za Usalama Barabarani kwa kuwa gari lililobeba mizigo halikuwa na gari dogo la kusindikiza 'escorts' nyuma na mbele lakini eneo lilipokuwa daladala ni eneo la njia panda hivyo si eneo la kupakia na kushusha abiria.


"Wananchi wamelalamikia mwendo kasi wa madereva bodaboda, ninaagiza Jeshi la Polisi kufanya Uchunguzi wa kina na kuona namna ya kuhakikisha vituo vya kupakia na kushuha abiria inakuwa mbali na eneo la njia panda pamoja na kudhibiti mwendo kasi wa madereva wa  pikipiko maarufu kama bodaboda" Ameweka wazi Mhe. Sagini


Awali, ameungana na mkuu wa mkoa wa Arusha na viongozi wote wa Serikali pamoja na Mhe. Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, kutoa pole kwa wafiwa wote na watanzania kwa ujumla, na kuhakikisha maagizo ya Serikali yanafanyiwa kazi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa