• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MIKOPO NI DHAMANA YENU- RC MONGELLA

Posted on: February 10th, 2023

"Hakikisheni mikopo mnayokopeshwa  mnarudisha tena kwa wakati,hii itasaidia kujijengea imani yakuweza kukopeshwa tena".

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella alipokuwa akikabidhi hundi ya mikopo kwa vikundi vya kina Mama, Vijana na wenye Ulemavu Wilayani Karatu.

Amevitaka vikundi vilivyopata Mkopo kwenda kutumia fedha hizo kwa tija ili na wengine waweze kuona faida ya mikopo hiyo.

Aidha, ameziagiza halmashauri zote kufanya tathimini za Mikopo hiyo ya 10% katika uhalisia wa maendeleo hususani kwenye miradi iliyoanzishwa na vikundi hivyo.

Ameipongeza halmashauri kwa kusimamia marejesho ya mikopo iliyosaidia kuongeza kiwango cha mikopo.

Mkurugenzi wa halmashauri ya Karatu Karia Rajabu amesema  halmashauri hiyo katika kipindi cha robo ya kwanza naya pili mwaka 2022/2023 wametoa fedha kiasi cha Milioni 4.8 kwa vikundi 482 vya wamama, Vijana na wenye Ulemavu.

Bwana Karia amevitaka vikindi vilivyokopeshwa wauchukulie Mkopo huo kama dhamana na warudishe ili kila mtu aweze kunufaika nao.

Mratibu wa mfuko huo kutoka halmashauri ya Karatu Bi. Adelida Shauri amesema mikopo hiyo kwa miaka ya nyuma ilikuwa inarudishwa kwa riba lakini ilipofikia mwaka 2018/2019 riba iliondolewa.

Amesema, kwa mwaka 2022/2023 vikundi vilivyopatiwa mkopo huo ni 60 vyenye wanawake 441, vikundi 7 vyenye vijana 35 na vikundi 6 vya watu wenye ulemavu 6.

Kutokana na usimamizi mahili walioufanya katika marejesho kumeiwezasha halmashauri ya Karatu kuweza kutumia marejesho hayo kuwakopesha wengine pamoja na mapato ya ndani.

Halmashauri ya Karatu imeweza kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato iliyopelekea kuongezeka kwa 10% ya mikopo ambapo Milioni 408 zilizotolewa, Milioni 280 ni mapato ya ndani na Milioni 180 ni marejesho ya mikopo ya nyuma.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa