• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MRADI WA BARABARA YA KM 14 YA MAALON - KIPAMBI YAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI

Posted on: March 5th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Wananchi wa kata ya Maloni wameishukuru Serikali kwa kuwajengea barabara yenye urefu wa Km 14.6, inayounganisha kata hiyo na barabara kubwa ya lami ya kutoka Waso -  Sale, barabara ambayo licha ya kurahisisha usafiri imesaidia kufungua uchumi wa eneo hilo.


Wananchi hao wametoa shukurani zao, kwa wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha, walipotembelea na kukagua utekelezaji wa ujenzi wa miradi katani hapo, ikiwa ni zaiara yao ya kawaida ya kufuatilia utekezaji wa Ilani ya CCM.


wamesema kuwa, wananchi wa eneo hilo ni wanajishughulisha na kilimo na ugugaji, wakiwa ni wafanyabiashara wa mazao ya chakula na mifugo, hivyo uwepo wa barabara hiyo, licha ya kuwaondolea kero ya usafiri imewafungulia fursa za kiuchumi kwa kuwa sasa magari yaneweza kuingia na kubeba mazao hayo kupeleka sokoni.


Wamekiri kuwa, kwa miaka mingi waliteseka sana na kulazimika kutumia punda na pikiki kusafirisha mazao yao kwenda sokoni, jambo ambalo liliwagharimu fadha nyingi pamoja na muda, wa kusafiri kutoa eneo moja kwenda jingine


"Tunaishukuru Serikali ya Mama Samia, imetujali sana, ametuondolea kero kubwa kwenye kata yetu, tunasafirisha mazao, mifugo yetu kwa magari sasa, tunasafirisha wagonjwa kwa wepesi lakini hata watoto sasa wanakwenda shuleni kwa amani hasa ukizingatia eneo hili ni mbali na mji" Wamesema wananchi hao.


Hata hivyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa, Loy Thomas Ole Sabaya, ameridhishwa na Utekelezaji wa Ilani ya chama katika kata hiyo na kuthibitisha kuwa Serikali ya CCM ina lengo la kutatua kero za wananchi nchini hususani wanainchi waishio vijijini kama ilivyo kwa wananchi wa Maloni.


Aidha, amewataka kuwa watulivu na kuendelea kuiunga mkono Serikali ya awamu ya sita na viongozi wote wakiongozwa na Jemadari Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kujikita zaidi katika kufanya kazi za kujiingizia kipato ili kuinua uchumi wa Taifa lao la Tanzania.


"Niwaopongeze kwa kufanya kazi zenu za kilimo na ufugaji, niwasihii endeleeni kumuunga mkono Rais wenu Mama Samia na Serikali yake, amboyo inasisitiza kufanya kazi, mnajionea kazi kubwa iliyofanywa na serikali yenu, hivyo msimuangushe mama yatu mpendwa Samia" Amesisitiza Mwenyekiti Sabaya.


Awali, Kufuatia mkakati wa Serikali wa kuboresha miundombinu ya barabara vijiji, kupitia wafadhili wa KFW na TANAPA, imejenga Bararabara ya kiwango cha changarawe na kokoto yenye urefu Km 14, ya Mairowa - Njoroi kwa gharama ya shilingi milioni 884.6


Garama hizo zimejumuisha ujenzi wanmadaraja 4, structure 26 , drift 24 pamoja na eneo lililojengwa kwa kutumia kokoto, mradi unaowanufaisha wananchi 5,524 wa kata ya Maloni na wageni wanaoingia na kutoka katani hapo.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa