• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MREMBO WA DUNIA KUTANGAZA UTALII WA NCHI

Posted on: October 29th, 2019

“Tutamtumia mrembo wa Dunia katika kutangaza utalii wa nchi yetu ili Dunia nzima ijue Tanzania kuna vivutio vizuri vya utalii ambavyo vitavuta watalii wengi kuja nchini kwetu”.

Yamesemwa hayo na waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo  Dokta Harrison Mwakyembe, alipokuwa akizungumza na mrembo wa Dunia Bi. Vanessa Ponce alipotembelea shule ya sekondari Moshono iliyopo jijini Arusha  na kugawa taulo za kike mapema wiki hii.

Mwakyembe amesema, atazungumza na waziri wa maliasili  na utalii ili kumuwezesha mrembo huyo wa dunia kupata nafasi ya kutembelea mbunga mbalimbali za nchi na kuleta hamasa hata kwa wageni wengine kutembelea hifadhi zetu.

Amesema, mbali na kampeni hiyo ya ugawaji wa taulo za kike uliofanywa na mrembo huyo wa dunia bado wanaweza kumtumia katika kutangaza utalii wa nchi kwani dunia nzima wanafahamu yupo Tanzania kwa sasa,hivyo ni fursa nzuri kwa nchi kuona namna ya kumtumia kutangaza hifadhi zetu.

Amesisitiza zaidi kuwa serikali inaendelea na mpango wake wakutangaza utalii pande zote za dunia ili kuongeza mapato ya nchi na kuipeleka nchi katika uchumi wa kati yani uchumi wa viwanda.

Nae Mkurugenzi  mwendeshaji wa mashindano ya urembo Tanzania Basilla Mwanukuzi, amesema wanashirikiana na uongozi wa urembo duniani katika kufanya kazi mbalimbali za kijamii ilikuleta hamasa zaidi kwa watu hapa nchini.

Mrembo wa dunia yupo nchini kwa ajili ya kufanya shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na mrembo wa Tanzania Sylivia Sebastian ili kuleta hamasa kwa jamii na maendeleo ya nchi kwa ujumla.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa