• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

MTUME MWAMPOSA; KIPAWA NI KITU CHA THAMANI, VIPAWA VYA ARUSHA VIKAZAE BARAKA

Posted on: July 13th, 2024


Kiongozi wa Kanisa la Arise and shine (Inuka uangaze), lenye makao yake Makuu Jijini Dar Esamefika, Mtume Boniface MwamLaki amewasili mkoani Arusha na kutembelea kwenye viwanja vya Lakilaki - Kisongo eneo yatakapofanyika mashindano ya SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP na kuungana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda na kukagua njia za mashindano hayo mapema leo Julai 12, 2023.


Mtume Mwamposa ameshiriki sala maalum ya kuombeachampionshiphayo ya pikipiki pamoja na kumuombea kheri, hekima na ubunifu wa ziada Mkuu wa Mkoa huyo Mhe. Makonda pamoja na kuwatia moyo washiriki wa mashindano kuwa vipawa walivyo navyo ni vya thamani kutoka kwa Mungu, hivyo mashindano hayo yakawe baraka ili vipawa hivyo vikazae baraka. 


Mtume Mwamposa ambaye yuko Arusha akiambatana na Wachungaji wengine wa kanisa hilo, amempongeza pia Mhe. Makonda kwa kipawa na Neema kubwa aliyonayo katika dhamira yake njema ya kustawisha maisha na ndoto za vijana wengi wa kitanzania, akimtaka kuendelea kushughulika na ustawi wa wananchi anaowaongoza.


"Wote mnakubaliana kwa Rais wetu kumteua Mhe. Paul Makonda kwamba Mungu alimuongoza kumleta Arusha. Mhe. Makonda tumefahamiana tangu akiwa chuoni na kazi hizi anazozifanya sasa sio kwa bahati, Mungu amempa hicho kipawa na Mungu amempa hiyo Neema, Mungu amempa ufahamu wa kufanya mambo makubwa tangu nimemfahamu", Ameongeza Mtume Mwamposa.


Mashindano ya Samia Motocross Championship yanafanyika Jumapili hii Julai 14, 2024 kwenye viwanja vya Lakilaki Kisongo.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa