• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

Posted on: June 14th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amesema kuwa ndoto ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Mkoa wa Arusha ni kuona mkoa huo unakuwa kitovu cha utalii na uchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo, hasa kupitia sekta ya utalii.



Akizungumza wakati wa kikao na viongozi wa mashirika ya reli na bandari waliotembelea Mkoa huo, Mhe. Makonda ameeleza kuwa Rais Samia amedhamiria kwa vitendo kuleta maendeleo Arusha, jambo linalodhihirika kupitia miradi mikubwa inayoendelea kwa sasa, ikiwemo ujenzi wa uwanja wa kisasa na ukumbi mkubwa wa mikutano.



Aidha, Mhe. Makonda amemshukuru Rais Samia kwa kuwatuma viongozi wa Shirika la Reli na Mamlaka ya Bandari kuzungumza na wananchi wa Arusha kuhusu maendeleo yanayokuja mkoani humo.



Kwa upande wake, Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Reli Tanzania  Ally Karavina ameeleza kuwa wameona umuhimu wa kukagua reli ya kutoka Arusha hadi Dar es Salaam, na kufikiria namna ya kuunganisha njia hiyo hadi Tanga na tayari wamepata mradi wa ukarabati wa reli hiyo ili kuongeza kasi ya usafiri wa treni kufikia wastani wa kilomita 70 kwa saa.



“Yanayokuja Arusha yanaridhisha. Mpango wa ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR bado upo kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi na reli hiyo itarahisisha usafirishaji wa magadi soda kutoka Engaruka hadi kufika Musoma,” amesisitiza Karavina.



Sambamba na hayo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usimamizi wa Bandari (TPA) Plusduce Mbosaa ametoa wito kwa wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla, kuchangamkia fursa ya ujenzi wa Bandari Kavu jijini Arusha na kuongeza kuwa wako tayari kutoa vibali kwa mtu au taasisi yoyote yenye nia ya kuwekeza kwenye mradi huo.



Aidha, mizigo yote itakayopokelewa kupitia bandari ya Arusha itapitia katika bandari kavu hiyo, hatua itakayorahisisha shughuli za usafirishaji na kuongeza ufanisi katika biashara.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa