• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

NENDENI MKAWE WAAMINIFU KWA WATEJA WENU-RC KIMANTA

Posted on: December 7th, 2020

Mafundi simu wametakiwa kuwa waaminifu kwa wateja wao pindi wanapowatengenezea simu zao.

Maagizo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Iddi Kimanta alipokuwa akifungua mafunzo ya siku moja ya mafundi simu wa Kanda ya Kaskazini ilijumuisha mikoa ya Arusha,Tanga,Manyara na Kilimanjaro,yaliyofanyika Mkoani Arusha.

Amesema serikali inatambua uwepo wao ndio maana mafunzo hayo yakatolewa kwao kupitia Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na chuo cha ufundi VETA.

Hii yote nikuwajengea uwezo mafundi simu nchini ili kazi zao ziwe bora na zinazotambulika katika jamii zao.

Aidha, Kimanta amewataka kutumia vikundi walivyonavyo kwa kila mkoa kwa ajili ya kuombea mikopo katika taasis mbalimbali za fedha na pia kujipatia bima za afya kwani fursa hizo zitawasaidia katika kukuza biashara zao.

Mkurugenzi wa chuo cha ufundi VETA bwana Patrace Bajulu amesema,jumla ya mafundi 417 ndio walioomba kupatiwa mafunzi hayo kutoka kanda ya Kaskazini lakini waliopata nafasi ni 200 na wengine 217 wamekosa kutokana na bajeti kutotosha.

Amesema bado serikali inaendelea kutafuta namna ya kuhakikisha mafundi wote wanapatiwa mafunzo hayo.

Bwana Bajulu amewataka mafundi hao kutumia fursa hiyo ya mafunzo ili kujipanua katika soko.

Mafunzo kwa mafundi simu yalianza mapema mwaka huu Mkoani Dodoma na kuendelea kutolewa katika kanda mbalimbali hapa nchini.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa