• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

PELEKENI ELIMU YA LISHE NGAZI CHINI-RC MONGELLA

Posted on: August 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amezitaka Kamati za Lishe Mawilayani kuhakikisha zinakwenda Vijijini kufundisha na kuhamasisha masuala ya Lishe kwa Jamii.

Amesema hayo aliopokuwa akiongoza Kikao cha Lishe Mkoa wa Arusha kikichofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati wakijadili mpango mkakati wa namna ya kukabiliana na changamoto ya Lishe duni katika Jamii hususan kwa siku 1000 za mtoto tangu azaliwe.

Amesema kuwa suala la Lishe halina mjadala wala mbadala na kuwa Lishe bora ndiyo inayopelekea kupata nguvu kazi iliyobora na Viongozi bora, Viongozi bora huzaa Taifa imara,hivyo kucheza na masuala ya Lishe ni kuhujumu mipango ya maendeleo ya Taifa kitu ambacho ni hatari kwani hupelekea Taifa kuwa na idadi kubwa ya Watu wenye udumavu.

Katika kuhakikisha suala la Lishe linapewa kipaumbele, Mongella ameziagiza Kamati za Lishe  kufanye ziara Vijijini kwaajili ya kwenda kutoa Elimu na hamasa kwa Jamii ili kuwapa uelewa mpana wa faida za Lishe kwa mama mjamzito na Watoto chini ya Miaka 5 kwani kila Halmashauri ilishagizwa kutenga fedha za kuchangia mpango Lishe kwa mtoto mchanga.

"Nawaombeani Wakuu wa Wilaya mkazisimamie Kamati za Lishe ili ziweze kutoa elimu ya Lishe kwenye Kaya hii itasaidia Jamii kupata uelewa wa umuhimu kwa mama mjamzito na kwa siku 1000 za mtoto toka azaliwe" Alisema Mongella.

Sambamba na hilo, Mongella amesema ni vyema Ofisi za Waganga wa Wakuu wa Wilaya wakateuwa timu ya Maafisa uhamasishaji Lishe wenye waliobobea katika eneo hilo na ambao wanatambua malengo na mikakati ya Taifa kuhusu Lishe kwani kwa kutofanya hivyo zoezi la Lishe litakuwa bure.

"Tunapofika kwenye suala la uelemishaji nawaomba saana Waganga Wakuu wa Wilaya lazima tupeleke Maafisa Lishe wanajua kusoma vizuri Scorecard ya Lishe ili watusaidie kutoa elimu na kutupa takwimu sahihi za hali ya Lishe kwenye Wilaya zetu" Alisema Mongella.

Kikao hicho cha Lishe Mkoa kilihudhuriwa na Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi pamoja na Wataalam wa Lishe toka Wilaya zote za Mkoa wa Arusha ambapo kila Wilaya iliwasilisha taarifa zake za utekelezaji na mikakati ya kukabiliana na changamoto za Lishe katika Jamii.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa