• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

PROF. KABUDI ASIFU UBUNIFU WA RC MAKONDA, KUIWEKA ARUSHA KWENYE RAMANI KIMATAIFA.

Posted on: March 1st, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa sanaa, utamaduni na michezo Prof. Palamagamba Kabudi, ambaye yupo mkoani Arusha kukagua maendeleo ya Ujenzi wa uwanja wa michezo unaojengwa Mkoani Arusha kwaajili ya mashindano ya Kandanda kwa mataifa ya Afrika maarufu kama AFCON 2027.



Katika mazungumzo yao, Mhe. Kabudi amempongeza Mhe. Makonda kwa mashindano na matukio mbalimbali ya kimichezo aliyoyaratibu na kuyasimamia, ikiwemo Land Rover Festival 2024, ambayo imesaidia kuitangaza Arusha kimataifa na kutoa fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha waliouza bidhaa na huduma mbalimbali wakati wa tamasha hilo pamoja na mashindano mengine ya kimichezo yaliyofanyika Jijini Arusha tangu kuteuliwa kwake.



Kwa upande wake Mhe. Makonda ameeleza kuwa Mkoa wa Arusha unazidi kufunguka kitalii ambapo kwasasa Utalii wa safari na michezo ndiyo ajenda kuu ya Mkoa na Rais Samia pia anaendelea na mpango wake wa kutambulisha utalii wa matibabu katika Mkoa huo kando ya utalii wa kitamaduni ambao Mkoa wa Arusha utaanzisha maonesho yake kuanzia mwezi Machi mwaka huu, kwa kukutanisha jamii mbalimbali za kigeni zilizopo mkoani hapa kwaajili ya kuonesha tamaduni zao mbalimbali.



Mashindano ya AFCON 2027 yatafanyika kwa ushirikiano wa wenyeji wa nchi tatu, Tanzania, Kenya na Uganda ambapo kwa Tanzania viwanja kadhaa vitatumika katika michuano hiyo ikiwemo uwanja mpya unaojengwa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, eneo la Bondeni city Jijini Arusha, serikali pia ikitarajia kujenga mji wa biashara pembezoni mwa uwanja huo ili kutoa fursa kwa wakazi wa Arusha kunufaika kiuchumi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa