• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

PROF. KITILA ASIFU UBUNIFU NA UCHAPAKAZI WA RC MAKONDA.

Posted on: July 4th, 2024


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na uwekezaji Mhe. Profesa Kitila Mkumbo amemsifu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda kwa ubunifu na kasi aliyonayo katika kutekeleza maono na mipango ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.


"Kuna suala la uongozi kuwa na cheo,na wenye vyeo tupo wengi ila unakifanyia nini cheo ni jambo jingine kabisa ambalo mdogo wangu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda unakifanyia haki cheo chako. Ni mbunifu na kila sikua hapa Arusha kuna kitu kipya" amesema Profesa Mkumbo.


Waziri Mkumbo pia amempongeza Mkuu wa Mkoa kwa uratibu wa Kambi ya matibabu iliyomalizika hivi karibuni akisema imekuwa na mafanikio makubwa na imekuwa msaada mkubwa kwa wananchi wengi ambao walikuwa hawajafikiwa na huduma za matibabu ya kibingwa.


"Nilikuwa namtania leo asubuhi nikamwambia ujue wenzako tukikutana wengi wanazungumzia tu Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa lakini wewe mwenzangu unazungumzia biashara, viwanda, uwekezaji.Nikamuuliza na wewe ni mwenyekiti wa kamati ya usalama?", Ameongeza Mhe. Kitila Mkumbo.


Waziri Prof. Kitila aliyeambatana na Maafisa mbalimbali wa wizara na Kituo cha TIC nchini Tanzania, alikuwa akifungua Kituo cha uwekezaji TIC kanda ya Kaskazini, Kituo ambacho kimehamishwa kutoka Mkoani Kilimanjaro kwenda Mkoani Arusha.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa