• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RAIS DKT. SAMIA AFUNGA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPAMBANA NA RUSHWA AFRIKA

Posted on: July 11th, 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan amewataka watanzania kila mmoja kujipima kwanamna gani anadhibiti rushwa ili kuleta maendeleo ya mtu mmoja moja au taifa kwa ujumla.

Amewataka nchi zote wanachama wakatekeleze maadhimio yaliyopitishwa na Mkutano huo ili kudhibiti kabisa maswala ya rushwa kwani vinazolotesha maendeleo ya nchi zetu.

Afrika inatakiwa kuonesha Dunia kuwa bara hili sikichaka chakuficha fedha za rushwa au wala rushwa bali ni bara ambalo si salama kwa wala rushwa.

Tanzania ni miongoni mwa nchi 48 kati ya 50 zilizosaini Mkataba wa kutekeleza Mkataba wa umoja wa Afrika wa kupinga rushwa mnamo mwaka 2005.

Jukumu la kutokomeza rushwa nilakila Mtanzania hivyo kila mtu ajitazame mwenyewe na kujifanyia tathimini.

Amesema, nchi ya Tanzania imeweza kuokoa kiasi cha sh. bilioni 39 fedha ambazo zingepotea kupitia mazingira mbalimbali ya rushwa.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menenjimenti ya Utumishi wa Umma George Simbachawene amesema, maadhimisho hayo niya 20 katika utekelezaji  wa Mkataba wa Umoja wa Afrika wa kuzuia na kupambana na rushwa  ambayo yanafanyika kila mwaka.

Maadhimisho hayo yameambatana na shughuli mbalimbali zikiwemo matembezi yakupinga rushwa, Kongamano na vipindi vya kuelimisha katika vyombo mbalimbali vya habari.

Tanzania itaendelea kusimamia taasisi zote zinazoshughulika na mapambano dhidi ya rushwa kwa pande zote mbili bara na visiwani ili kuhakikisha rushwa inamalizwa.

Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU Salim Hamduni, amesema kupitia maadhimisho hayo wameweza kutoa elimu juu ya rushwa na kubadilishana uzoezi baina ya nchi na nchi na hivyo kupelekea kila nchi kujifunza zaidi kutoka nchi nyingine.

Pia, maadhimisho hayo yamewasaidia kuongeza zaidi ushirikiano baina ya nchi hizo na kuweka nguvu zaidi juu ya kupambana na rushwa.

Maazimishi hayo ya mapambano dhidi ya rushwa kwa bara la Afrika yamehudhuriwa na nchi takribani 24 kutoka bara la Afrika.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa