• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC KIMANTA AKABIDHI RASMI OFISI YA WILAYA

Posted on: June 25th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Idd Kimanta, amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Monduli  ACP Edward Balele kuwa Wilaya ya Monduli haijawai kupata hati chafu tokea serikali ya awamu ya tano iingie madarakani.

Mheshimiwa Kimanta ameyasema hayo alipokuwa akimkabidhi ofisi Mkuu huyo wa Wilaya katika ofisi za wilaya ya Monduli na kisha kuzungumza na watumishi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya na halmashauri.

Amemtaka Mkuu uyo wa Wilaya kuhakikisha hadhi ya Wilaya ya Monduli inabaki kama ilivyo.

“Nakukabidhi Wilaya hii ya Monduli na watumishi wote wakiwa katika hali nzuri na wewe hakikisha unaendelea kufanya nao kazi vizuri na kwa ushirikiano mkubwa”.

Amesema watumishi wa Monduli kwa ujumla ndio waliofanikisha mafanikio yake hadi kufikia nafasi hiyo ya mkuu wa Mkoa, hivyo amewashukuru kwa ushirikiano wao waliouwonesha na kuwataka waendelee hivyo hivyo hata kwa mkuu huyu mpya wa wilaya.

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mheshimiwa ACP Edward Balele amemuadi Mkuu wa Mkoa kuwa atayaendeleza yale yote ambayo ameyaacha katika wilaya hiyo kwa maendeleo ya wilaya hiyo.

Balele amemuomba Mkuu wa Mkoa kuendelea kuwashauri katika mambo mbalimbali ya wilaya hiyo pale watakapoitaji ushauri wake.

Akizungumza kwa niaba ya watumishi wote wa Monduli Mkurugenzi wa halmashauri ya Monduli bwana Ulaya Underson, amesema watumishi wote wamefurai sana kwa uteuzi huo na wanamuombea mafanikio katika majukumu yake hayo mapya.

Amesema Kimata ameacha alama kubwa na nzuri sana katika wilaya hiyo na kuaidi kuyaendeleza yale waliyoweza kujifunza kutoka kwake huku wakishirikiana na Mkuu mpya wa wilaya.

Mheshimiwa Kimanta amekabidhi ofisi yake ya zamani ya wilaya kwa mkuu mpya wa wilaya hiyo baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha mapema wiki hii.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa