• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC KIMANTA-WAFUGAJI CHANGAMKIENI FURSA YA SOKO LA NYAMA

Posted on: December 9th, 2020

Wafugaji wa Mkoa wa Arusha wametakiwa kuchangamkia soko la uuzaji wa mifugo yao katika kiwanda cha nyama cha Eliya Food kilichopo wilayani Longido.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Kimanta alipotembelea kiwanda hicho na kujionea namna kinavyofanya kazi za uzalishaji wa nyama.

“Kwanini wafugaji wetu wakauze mifigo yao nchi za jirani wakati tayari tuna mwekezaji hapa ambae yupo tayari kununua mifugo takribani 1000 kwa siku?”.

Amesema wawekezaji wazalendo kama hao wanatakiwa kuungwa mkono kwa juhudi kwani wangeweza kwenda kuwekeza Mkoa mwingine wowote lakini wao wakachagua Mkoa wa Arusha wakiwa na lengo la kuwatafutia masoko ya mifugo wafugaji.

Aidha, Kimanta amewashauri watafute mawakala wakutosha wa kuwakusanyia mifugo kutoka maeneo mbalimbali ya nchi ili waweze kupata mifigo ya kutosha katika uwendeshaji wa kiwanda chao.

Amesisitiza kuwa, serikali itashirikiana na uongozi wa kiwanda hicho na kuhakikisha kinakuwa na kutengeneza soko kubwa ndani na nje ya nchi, kukuza uchumi wa Mkoa na kutengeneza ajira za kutosha kwa wana Longido.

Nae, Mkurugenzi wa Kiwanda bwana Shabia Virgi amesema, malengo ya kiwanda chao ni kuhakikisha nyama ya Tanzania inauzika hadi nchi za nje na kuifanya nchi itambulike zaidi.

Bwana virgi amesema mpaka sasa wamesha chinja mbuzi 1400 ikiwa ni hatu ya majaribio na kiwanda kinauwezo wa kuchinja mbuzi 1000 kwa siku.

Amesema changamoto kubwa waliyonayo ni upatikanaji wa mifugo kwa bei ya juu kutoka kwa wafugaji ambayo umepelekea kiwanda kuchinja nyama kwa kiwango kidogo mbuzi 600 kwa siku badala ya 1000 kwa siku.

Mhe. Kimanta amefanya ziara ya kutembelea kiwanda cha Eliya Food oversees kilichopo wilayani Longido ikiwa ni moja ya utaratibu wake wa kutatua changamoto mbalimbali kwa wawekezaji waliopo katika Mkoa wa Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa