• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AITA VIJANA 1,000 KWENYE USAHILI, UFADHILI KAMILI WA MASOMO NCHINI INDIA.

Posted on: March 24th, 2025


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ametangaza leo Jumatatu Machi 24, 2025 kuwa Jumatano ya wiki hii Machi 26, 2025 Mkoa huo utafanya usahili wa kuwapata Vijana 1,000 watakaojiunga na ufadhili wa masomo ya kozi na programu mbalimbali nchini India.



Jijini Arusha leo kwenye kituo cha kimataifa cha mikutano AICC wakati wa  Kongamano la Kumpongeza Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka minne ya Uongozi wake, Mhe. Makonda amebainisha kuwa fursa hizo za masomo zitahusisha programu na fani zaidi ya 220, zikitolewa kwa wananchi wa Arusha pekee na kusimamiwa na serikali ya India kupitia kwa Balozi wake Mhe. Bishwadip Dey, anayeiwakilisha India nchini Tanzania.



"Kama unahangaika na ajira na unaona muda wa ajira unakuchelewesha njoo uongeze elimu na kama unaona ukiongeza elimu unachelewa kupata kazi nenda VETA." Amesema Mhe. Makonda.



Mahusiano ya India na Mkoa wa Arusha yemeendelea kuimarishwa na kukuzwa kupitia fursa mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kielimu ambapo India pia kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa wa Arusha Mwezi Mei mwaka huu inaandaa Kongamano kubwa la utoaji wa elimu kwa vijana wa Arusha kuhusu Akili mnemba (Artificial Inteligence), wawezeshaji wakiwa ni Maprofesa kutoka nchini Marekani na India.



Arusha pia inashirikiana na Serikali ya India katika kutimiza dhamira ya Rais Samia ya kukuza utalii na kuvutia raia wa kigeni kuitembelea Arusha, ambapo Serikali ya India imetoa ufadhili wa kozi ya Upishi kwa Wajasiriamali 50 watakaoenda nchini India kujifunza mapishi ya vyakula vya India pamoja na tamaduni zao mbalimbali ili kuja kuwahudumia raia wa Taifa hilo wanaokuja kutalii nchini Tanzania.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa