• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AJIPANGA KUONGEZA KIKOSI KAZI CHA TAKUKURU ARUSHA...

Posted on: May 28th, 2024

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda, amesikitishwa na tuhuma za rushwa zinazoukabili mkoa huo na kujipanga kuongeza kikosi kazi kitakachoongeza nguvu ya mapambano ya rushwa mkoani humo.


 Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa hadhara wa kuzungumza na wananchi wa halmashauri ya Arusha wilaya ya Arumeru ikiwa ni siku ya nnne ziara yake ya 'Siku 6 za Moto Arusha' ya kukagua utekelezaji wa shughuli za maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi ili kusikiliza kero.


Amesema kuwa, ili kukabiliana na mafisadi na wala rushwa mkoa huo unahitaji  Taasisi ya Kupambana na Kuzia Rushwa nchi TAKUKURU kukiongezea nguvu kikosi cha Arusha pamoja na kumuomba Mkaguzi Mkuu na Mdhitbiti wa Hesabu za Serikali kufanya ukaguzi upya katika eneo la mapato na matulizi pamoja na fedha za utekezaji wa miradi ya maendeleo.


Ameweka wazi kuwa, mkoa unahitaji kufanya mambo mawili, ambapo ameyataja kuwa ni pamoja na moja ni kumuomba Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Tanzania TAKUKURU · CP. Salum Hamduni kuongeza kikosi kazi cha TAKUKURU maalum kwa kufanyakazi kwenye mkoa wa Arusha, ili kupambana na Rushwa, nataka tusafishe Mafisadi na wala rushwa wote kwa kuwa kazi tuliyonayo sasa tunaelemewa, tunahitaji kikosi kikubwa zaidi, ili mkoa wa Arusha uwe wa mfano


"La pili tutamuomba Mkaguzi Mkuu na Mdhitbiti wa Hesabu za Serikali kufanya ukaguzi upya 'auditing' kuanzia kwenye vyanzo vya mapato mpaka kwenye matumizi yote ikiwemo ulipaji wa fedha za utekelezaji wa miradi"


"Leo nimegoma kusaini barua ya Jiji la Arusha, ambao walijipima na kuona wanauwezo wa kukusanya mapato mpaka bilioni 60, wakashusha mpaka bilioni 48, leo wanaomba nisaini barua kushusha mpaka bilioni 42, ninafahamu mtandao huu si mdogo, uko uwezekano wa watumishi wa juu walio nje ya huu mkoa, wanapunguza vigezo na makubaliano yaliyopitishwa na Baraza la Madiwani, wanashusha vyanzo ili wapate fursa ya kujipatia pesa hizo"

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa