• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AMTAKA GAMBO KUHUDHURIA VIKAO VYA HALMASHAURI NA VYA MKOA, KUTOENDEKEZA SIASA CHONGANISHI. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda Leo Jumatatu Januari 06, 2024 amemtaka Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Mashaka Gambo, kuachana na s

Posted on: January 6th, 2025


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda Leo Jumatatu Januari 06, 2024 amemtaka Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Mashaka Gambo, kuachana na siasa za uchonganisha na badala yake ahudhurie vikao vya Mipango ngazi ya Halmashauri na vya ngazi ya Mkoa ili kujadili pamoja kuhusu changamoto na suluhu za masuala mbalimbali yanayohusu Mkoa wa Arusha.



Mhe. Makonda akiambatana na Waziri wa ujenzi Mhe. Abdallah Ulega, ametoa kauli hiyo leo wakati wa Ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya Mianzini- Olemringaringa inayojengwa kwa kiwango cha lami, akisema kutohudhuria vikao hivyo na badala yake kusubiri kuwasilisha changamoto zao kwa Viongozi wa kitaifa wanaofika mkoani hapa kwa ziara za kikazi ni uchonganishi usiokubalika na unaokwamisha shughuli za maendeleo.



Kulingana na Mhe. Makonda aliyeambatana na Waziri wa Ujenzi na Watendaji wakuu wa Wizara hiyo kwenye kukagua miradi mbalimbali ya Ujenzi Mkoani Arusha, amewaambia wananchi wa Ilboru, Arumeru kuwa masuala mbalimbali yanajadiliwa na kupatiwa ufumbuzi na maelekezo ndani ya Vikao mbalimbali vya mipango vinavyoitishwa ngazi ya Halmashauri na ngazi ya Mkoa na ni wajibu wa kila Kiongozi husika kuhudhuria ili kuwa na kauli ya pamoja na utekelezaji wa pamoja kwenye masuala ya maendeleo ndani ya Halamshauri na Mkoa wa Arusha kwa ujumla.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa