• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AWASILI OFISI ZA CCM WILAYA YA KICHAMA YA ARUMERU; ASISITIZA KUTORUDI NYUMA KWENYE MPAMBANA DHIDI YA WAZEMBE NA WABADHILIFU

Posted on: May 27th, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amewasili kwenye Ofisi za Chama Cha Mapinduzi, wilaya ya kichama ya Arumeru na kupokelewa na Mwenyekiti wa CCM Arumeru Ndugu Noel Severe na kuzungumza na Maafisa na viongozi wa CCM muda mfupi kabla ya kuanza ziara yake kwenye halmashauri ya Arusha, na kusisitiza kutokurudi nyuma kwenye mapambano dhidi ya wazembe na wabadhilifi mapema  leo Mei 28, 2024.

Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo mara baada ya kupata salamu za pongezi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arumeru, wakimtaka kutokurudi nyuma katika kuhakikisha Ilani ya Chama na maelekezo ya Serikali ya awamu ya sita yanatekelezwa kikamilifu na wasaidizi wake ngazi ya Mkoa.

Ameweka wazi kuwa, kamwe hatoacha kuwafichua na kuwawajibisha wazembe, wabadhirifu na watendaji wavivu wanaokwamisha juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea wananchi maendeleo na kutaka aachiwe wakosoaji hao kwani anawamudu kikamilifu.

"Kelele za ukosoaji unaoelekezwa kwangu zinampa ari na nguvu zaidi ya kufanya kazi ya kuwatumikia wananchi wa Arusha na kuhakikisha haki inatendeka"Amesema

Hata hivyo, Mhe. Makonda amekiomba Chama Cha Mapinduzi kuendelea kuwa jicho la kubaini na kueleza kuhusu kukwama kwa miradi mbalimbali na kuwataja kwa majina watendaji vikwazo wanaozembea katika kuwatumikia wananchi na kutekeleza ilani ya Chama hicho tawala nchini Tanzania.

Aidha Mhe. Makonda amesema Mkoa wa Arusha unapaswa kuondokana na malumbano ya kisiasa na badala yake wawekeze kwenye uchumi kwa kuhakikisha kila mwananchi ananufaika na fursa na mazingira mazuri ya kibiashara na uwekezaji yaliyowekwa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Arusha ameingia kwenye wilaya ya nne miongoni mwa wilaya sita za Mkoa wa Arusha ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya "Siku sita za moto" na amebainisha kuwa ataendelea kushughulika vilivyo na wazembe, wavivu na watendaji wenye kuendekeza vitendo vya rushwa na kuzalisha migogoro na kero mbalimbali.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa