• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA KUANZA ZIARA YA KIKAZI KWENYE WILAYA ZA MKOA WA ARUSHA...

Posted on: May 24th, 2024

Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, ametangaza kuanza kwa ziara ya kikazi ya siku 6 ya ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya  awamu ya sita chini ya Jemadari Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Kufanya Mikutano ya Hadhara kwenye halmashauri sita za Mkao wa Arusha.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Magari ya Jeshi la Zimamoto na Ukoaji Mkoani Arusha, Mhe. Makonda amesema katika mikutano ya hadhara atasikiliza na kupokea kero za wananchi wa maeneo hayo ja kuwataka Watendaji wa ngazi zote kuanzia ngazi ya Mtaa/ kitongoji, Kijiji, Kata, halmashari, Wilaya hadi  Mkoa kujiandaa ipasavyo kuwa na majibu ya kero hizo na kueleza kuwa, hatovumilia uzembe, ubadhirifu ama kusuasua kwa miradi ya maendeleo kunakofanywa kwa makusudi na baadhi ya watendaji.


Mhe. Mkuu wa mkoa amewasisitiza wananchi wote wa mkoa wa Arsuha kuhudhuri Mikutano hiyo ya Hadhara katika halmashauri zao kwa tarehe zilizopangwa ili kuweza kuzungumza pamoja na wenye kero kuziwasilisha kupitia mikutano hiyo huki akendelea kuahidi kuwa wananchi wote walodhulumiwa haki zao atahakikisha wanarejeshewa.

"Mkoa wa Arusha unatakiwa kuwa namba moja katika usimamizi wa haki, kupiga vita vitendo vya rushwa, dawa za kulevya pamoja na kuwa kinara katika uwajibikaji na kuwa nguzo kuu ya watendaji wote wa mkoa wa Arusha.

Ziara hiyo itaanza rasmi siku ya Alhamisi ya Mei 23, 2024 katika wilayani Longido kabla ya kuelekea Halmashauri ya Karatu Mei 24, Monduli Mei 25, Mei 28 halmashauri ya Arusha, halmasahuri ya Meru Mei 29, 2024 na hitimisho la siku zake sita litakuwa kwenye Jiji la Arusha tarehe 30, Mei 2024.

Mhe. Mkuu wa Mkoa ametoa rai kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano yake ya hadhara na kuja kusema kuhusu haki zao zilizoporwa ama kuhusu watendaji wasiowajibika kikamilifu katika kumsaidia majukumu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa