• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA: NITASIMAMIA KATIKA KUKUZA VIPAJI VYA VIJANA ARUSHA...

Posted on: April 29th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameahidi kuhakikisha kuwa anawafanya vijana wa Mkoa wa Arusha kuweza kutambua na kutumia vipaji vyao katika kujiletea maendeleo, akiahidi kuwasaidia vitendea kazi na kuwatengea sehemu maalum za kukuza na kuoneshea vipaji vyao.

Mhe. Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ametoa kauli hiyo leo jioni Aprili 28, 2024 kwenye Viunga vya Makao makuu ya Mkoa wa Arusha, alipokuwa akizungumza na Vijana wanaofanya maonesho ya kuendesha na kucheza na pikipiki maarufu Jijini Arusha kama Dede.

Mhe. Paul Makonda amekutana na kundi hilo mara baada ya kuona vipande vyao vya Video mitandaoni na kuahidi kuwatafutia eneo maalum kwaajili ya kufanyia maonesho yao akitambua kwamba kazi hiyo yaweza kuwa chanzo cha mapato kwao na sehemu ya kulipendezesha jiji la Arusha.

Mh. Mkuu wa Mkoa kadhalika amewaahidi vijana hao kuandaa mashindano ya kuendesha na kucheza na pikipiki ambapo ameahidi kuwa zawadi kwa Mshindi itakuwa Shilingi milioni kumi kwa mshindi wa kwanza, milioni saba kwa mshindi wa pili na mshindi wa tatu atajishindia shilingi Milioni tano za Kitanzania.

Mkuu wa Mkoa ametumia fursa hiyo pia kuwahimiza vijana wa Arusha kumtanguliza Mungu katika shughuli zao za kila siku, Kutambua na kunoa vipaji vyao pamoja na kuzingatia suala la nidhamu ili kuweza kufikia mafanikio na kuondokana na utegemezi.

Kwa upande wao baadhi ya Vijana hao wamemshukuru Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa kuwatambua na kuamua kukutana nao na kusema kuwa hawakuwahi kuhisi kutambulika kiasi cha kuweza kuitwa na Mkuu wa Mkoa na hivyo wameahidi kuzingatia maelekezo ya Mhe. Mkuu wa Mkoa ili kuweza kufikia ndoto zao na kujikwamua na umaskini kwa kuifanya kazi yao kuwa kazi itakayowaingizia kipato.

Aidha  ameahidi kuwakutanisha vijana hao na viongozi wa Shirikisho la Wafanyakazi nchini kesho Jumatatu Aprili 29, 2024 ili vijana hao waweze kutumika kwenye shamra shamra za kuelekea kilele cha siku ya wafanyakazi duniani, inayofanyika kitaifa Arusha na Mgeni rasmi ni Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa