• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AKAGUA MRADI WA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA SHULE YA MSINGI MONIC WILAYA YA NGORONGORO.....

Posted on: November 9th, 2023



Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K.Mongella amekagua mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya msingi Monic wilaya ya Ngorongoro, mradi unaotekelezwa na Serikali kupitia programu ya kuboresha miundombinu ya shule za Msingi Tanzania Bara BOOST.


Akitoa taarifa ya mradi huo, Mwalimu Mkuu shule ya Msinhi Monic, Mwl. Olosotun Masiaya amesema kuwa mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 105.8, ikujumuisha ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa na matunzu ya vyoo, ukiwa ni muhimu kwa kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani kama ilivyokuwa hapo awali.


Amesema kuwa shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 878, wasichana 330 na wavulana 548  huku wanafunzi 477 wakiwa ni wanafunzi wa bweni kutokana na mazingira ya eneo hilo.


Aidha Mwl. Masiaya ameishukuru serikali a awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha miundombinu ya elimu nchi, miundombinu ambayo ni rafiki kwa kufundishia na kujifunzia kwa walimu na wanafunzi, mazingira ambayo yanarahisisha uhawilishaji wa ujuzi na maarifa kwa wanafunzi darasani.


"Miundombi hii rafiki inatusaidia hata sisi walimu kufundisha kwa kuwafikia mwanafunzi mmoja mmoja, kutokana na idadi ndogo ya wanafunzi,tofauti na darasa likiwa na mrundikano wa wanafunzi ufundishaji unakuwa mgumu"Amebainisha Mwl. Masiaya.


#MamaSamiaAnairushaArusha

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa