• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AZUNGUMZA KWENYE MKUTANO WA MTUME MWAMPOSA VIWANJA VYA KISONGISONGO .....

Posted on: October 27th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John V.K. Mongella akizungumza na maelfu ya watu waliofika kwenye Mkutano wa neno la Mungu unaenda kwa jina la 'Washa Taa' unaoendeshwa na Taasisi ya Rise & Shine, na Mtumishi wa Mungu Mtume Boniface Godwin Mwamposa na kuthibitisha kuwa amani ya mkoa wa Arusha na nchi inachochewa na Watumishi wa Mungu.


Katika mkutano huo, Mhe. Mongella amepata wasaa wa kuwasalimia waumini walioshiriki mkutano huo na kumpongeza Mtume Mwambosa kwa kuandaa mkutano wa Neno la Mungu, mkutano ambao unawajenga wanaArusha kiimani na kuwafanya kudumisha amani, upendo na usalama wa mkoa wa Arusha na kuufanya mkoa kuwa na utulivu mkubwa.


Ameongeza kuwa serikali inatambua na kutahmini mchango wa viongozi wa dini na kwa kuwa serikali haima dini, kila mtanzania ana haki ya kuabudu imani yoyote huku utanzania ukiendela kuheshimiwa kupitia dini hizo.


Mutumishi ametulisha neno la kiroho, kwa neno linalotoa matumaini kwa wanaArusha,  neno linalohimiza uadilifu, amani na nidhamu, kwa pamoja matendo haya ndio yanayosababisha amani na kuwasukuma wananchi kufanya kazi kwa maendeleo ya Taifa.


"Unapoona Arusha imetuliani ni kwa sababu watu wake wana amani na imani na nchi yao na serikali yao pia, inayotokana na neno la Mungu linaloendelea kutolewa na kuwajenga watu kuwa imara kiroho, nikuombe Mtume uje Arusha ikiwezekana hata mara tano kwa mwaka, matunda ya mikutano hii yanajidhihitisha wazi" Amesisitiza Mhe. Mongella.


Naye Mtume Mwambosa ameahidi kurudi mara kadhaa Arusha, hata kama haitafika mara tano lakini atakuja zaidi ya ratiba yao, kwa kuwa mkoa wa Arusha umejaa amani na utulivu huku ukiongozwa na Mkuu wa mkoa mwenye hofu ya Mungu.


"Serikali inapokuwa na viongozi wenye hofu ya Mungu ni baraka kwa Taifa, Mamlaka zote zimetoka kwa Mungu, viongozi watii kama Mkuu wa mkoa Mongella, huleta maendeleo katika nchi, na wananchi wake hufurahia baraka za Mungu wakati wote" Amesema Mtume Mwamposa


Katika mkutano huo wa Washa Taa, uliowakutanisha wakazi wa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara, walipokea uponyaji wa miili na roho huku huduma ya kukanyaga mafuta ikifanyika.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa