• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RUWASA ARUSHA WATEKELEZA AGIZO LA MAKAMU WA RAIS DKT.PHILIP MPANGO

Posted on: May 24th, 2023

Mamlaka ya Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Arusha imetekeleza maelekezo yaliyotolewa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango wakuhakikisha wanapelekea mtambo wa kuchimba visima katika kijiji cha Sale.

Maelekezo hayo yalitolewa Mnamo Mei 18,2023 wakati Makamu wa Rais alipofanya ziara ya kikazi Wilayani Ngorongoro na kukutana na changamoto ya Maji katika Tarafa ya Sale.

Akizungumza wakati wa mapokezi ya mtambo huo wa kuchimba visima Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Raymond Mwangwala ameishukuru RUWASA kwa kutekeleza maelekezo hayo kwa wakati.

Amesema kuletwa kwa Mtambo huo wa kuchimba Visima katika Tarafa ya Sale ni matokeo ya ziara hiyo ambayo italeta matokea makubwa ikiwemo kuondoa changamoto ya Maji.

Mwangwala amesema mtambo huo utachimba visima vyote katika Wilaya hiyo hasa yale maeneo ambayo yameshafanyiwa utafiti wa upatikanaji wa Maji.

Aidha, amewataka wanaojishughulisha na uchimbaji mabwawa pia nao wangeanza kazi yakuchimba kwani hata mifugo inahitaji maji.

Nae, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ngorongoro Dkt.  Juma Muhina,ameomba mtambo huo ukachimbe visima katika maeneo yote ya Wilaya hiyo na sio katika kijiji cha Sale pekeyake.

Amesema mtambo huo ni Mkombozi katika Wilaya hiyo kwani tatizo la maji ni kubwa hasa kipindi cha ukame na utawezesha upatikanaji wa Maji kwa kiasi kikubwa.

Kwa upande wake Meneja wa RUWASA Mkoa wa Arusha Joseph Makaidi amesema kwa kupatiwa mtambo huo kumerahisha hata kutekeleza maagizo hayo ya Mhe. Dkt. Philip Mpango kwani tayari walikuwa wameshapatiwa mtambo huo.

Mpango uliopo kupitia ilani ya CCM ni kuhakikisha vijiji vipate Maji kwa 85% au zaidi ifikapo 2025.

Amesema tatizo lililopo katika Kijiji cha Sale ni upungufu wa Maji hivyo mtambo huo unaenda kuongeza kiwango cha Maji kwa uchimbaji wa Visima vya kutosha.

 Makaidi amesema Mtambo huo ni moja ya Mitambo 25 iliyotolewa na Serikali ya awamu ya sita ili viweze kufanya kazi ya kuleta Maji kwa wananchi kwa lengo la kumtua Mama ndoo kichwani.

RUWASA walipatiwa maelekezo ya ndani ya siku 3 kuhakikisha Mtambo huo ufike katika Kijiji cha Sale kwa ajili yakuanza kuchimba Visima na wameweza kutekeleza agiza hilo ndani ya muda.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa