• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SIJAJA KUWAONDOA, NIMEKUJA KUWASIKILIZA

Posted on: February 14th, 2022

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa amewataka wananchi wa Wilaya ya Ngorongoro kutokuwa na hofu ya kuondolewa katika maeneo ya hifadhi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani na wadau wa hifadhi wilayani Ngorongoro.

Lengo kubwa la kikao hicho ni kuona namna bora ya kutunza uhifadhi wa misitu na wanyama katika eneo hilo.

Mhe. Majaliwa amewataka wananchi wa Ngorongoro kupuuzia maneno yanayozungumzwa mitaa kwani hayana ukweli wowote wa kuondoa wananchi katika maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro na pori tengefu.

Akisisitiza zaidi Mhe Mjaliwa amesema Serikali haiwezi kuonea mtu yoyote kwani watu wote niwatanzania na wala haibagui kabila na hata dini.

Wajibu wa Serikali ni kusikiliza changamoto za wananchi na kuzitatua kwani ipo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi.

Msisitizo wa Serikali nikuona namna ya kuhifadhi tunu za wanyama na misitu kwa kuzitunza na mslahi mapana ya nchi.

Nae, mbunge wa wilaya ya Ngorongoro Emmanuel Shangai amesema wananchi wa wilaya hiyo wapo tayari kufanya mazungumzo na Serikali ili kufikia Suluhu ya migogoro hiyo.

Kiongozi wa kimila ( Laigwanani) bwana Joel Kremesi akizungumza kwa niaba ya wananchi wa wilaya hiyo amemshukuru Waziri Mkuu kwa kutambua kuwa wananchi hao niwahifadhi wazuri wa wanyama na misitu.

Bwana Kremesi amesema wao wapo tayari kujadili hatua zitakazochukuliwa katika kuhakikisha maamuzi yanapatikana kwa pande zote mbili kushiriki kikamilifu.

Mhe.Waziri Mkuu amefanya kikao hicho na wadau wa hifadhi ikiwa ni kutekeleza maelekezo yaliyotolewa na Mhe.Rais Samia Suluhu yakukutana na wadau hao na kutafuta muafaka.

Kikao hicho kilijumuisha viongozi mbalimbali wakiwemo mawaziri, Naibu mawaziri, makatibu wakuu, viongozi wa chama, viongozi wa dini, viongozi wa kimila, madiwani na wenyeviti wa Wilaya hiyo ya Ngorongoro.








Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa