• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SOKO LA TENGERU KUJENGWA KISASA-RAIS SAMIA

Posted on: June 24th, 2023


Rais Samia Samia Hassan Suluhu amesema kuwa yeye si mtu wa maneno mengi bali ni mtu wa vitendo zaidi na hata Watu wakisema yeye anasonga mbele katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana.

Aidha amesema kuwa serikali itaendelea kuhakikisha inawajengea uwezo vijana wa kesho katika sekta ya kilimo ,mifugo,biashara.

Alisema bado serikali inafungua njia kwaaajili ya sekta binafsi na inajipanga vema kuhakikisha vijana wanapata ajira ili kujikwamua kiuchumi

Alisema anataka kuona vijana wanajia uchumi imara kwa ustawi wa maisha yao na familia zao na kusisita kuwa kwa vijana wa vyuo serikali itaendelea kuhakikisha vijana wa vyuo vya kati ikiwemo kuhakikisha mifugo ni mali na kuinua uchumi.

Pia alisisitiza kuwa serikali inatafuta njia kwakaushirikiana na sekta binafsi kwaajili ya kutengeneza ajira ikiwemo kukusaya fedha kwaajili ya kuwatumikia wananchi

Kwa vijana wa bodaboda na machinga alisisitiza kuwa bado kunakazi kubwa ya kufanya na serikali itaendelea kutafuta fedha kwaajili ya kuwakwamua vijana

"Mimi sina maneno mengi ni vitendo tu wakisema mimi nasonga mbele, na tutaendelea kushirikiana na sekta binafsi ili kuleta uwekezaji wenye tija zaidi"

Akizungumzia kuhusu ujenzi wa soko la kisasa la Tengeru,Rais Samia alisema serikali natafuta fedha zaidi kwaajili ya ujenzi wa soko la kisasa la Tengeru.

Awali,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,John Mongella  alimshukuru Rais Dk,Samia Hassan Suluhu kwa kutoa fedha za miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Alisema Mkoa wa Arusha umepata madarasa mengi ya shule za msingi na sekondari



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa