• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUTATUMIA FURSA ZILIZOPO KULETA MAENDELEO

Posted on: June 21st, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amewaaidi wananchi wa Mkoa  huo kutumia fursa zilizopo hususani kwenye Viwanda, Kilimo na Ufugaji ili kuleta maendeleo ya Mkoa.

Ameyasema hayo alipokuwa akihutubia kwenye hafla ya kuwaapisha wakuu wapya wa Wilaya ya Ngorongoro na Arusha, katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

RC Mongella amesisitiza kuwa ili maendeleo yapatikane ni lazima kuwe na Utumishi uliotukuka, amani na mshikamano baina ya viongozi wote wa Serikali, Dini, chama na wananchi.

Aidha, amesema katika kujenga maendeleo ya Mkoa, hakuna mtu yoyote atakaeonewa kwa namna yoyote ile bali viongozi watafuata Sheria na haki.

Vilevile amewaomba Viongozi wa Dini kutumia nyumba za ibada kuhamasisha maendeleo, kwa watu kufanya kazi kwa bidii badala ya kukesha wakisali pekee.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha Zeloth Steven amewataka wananchi wa Arusha kutoa ushirikiano kwa viongozi wote wa Mkoa ili kuleta maendeleo ya pamoja.

Amesema chama chake kipo tayari kutoa ushirikiano kwa viongozi wote ili ilani ya chama Cha Mapinduzi iweze kutekelezeka kwani wananchi ndio wanachotaka kuona.

Nae, Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Sophia Mjema na Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Raymond Mangwala wamesema wapo tayari kutoa ushirikiano kwa viongozi na wananchi wote ili kuleta maendeleo ya Mkoa.

Wakuu wa Wilaya walioteuliwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan mnamo Juni 19,2021 kwa Mkoa wa Arusha ni Mhe. Sophia Mjema Arusha, Mhe. Eng. Richard Ruyongo Arumeru, Mhe.Raymond Mangwala Ngorongoro,Mhe. Frank Mwaisumbe Monduli na Mhe.a Abbas Kayanda Karatu.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa