• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AWASILI ARUSHA

Posted on: May 2nd, 2024

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Pindi Chana @pindi.chana amefika kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kupokelewa na Katibu Tawala Mkoa, Missaile Albano Musa asubuhi ya leo Mei 2, 2024.

Mhe. Balozi Chana licha ya kusaini kitabu cha wageni amefanya mazungumzo mafupi na Katibu Tawala ambapo ameleeza kuwa yuko mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ambapo atatembelea Mahakama za Kimataifa zilizopo mkoani Arusha


Aidha amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Chritian Makonda kwa kazi kubwa anayoifanya ya kushughulikia kero za wananchi hususani kukusanya kundi la vijana na kuwawezesha kujipatia kipato kwa njia halali na kuepuka kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu.


"Tunampongeza Mhe. Makonda kwa kukutana na kundi la wadudu, kundi ambalo ameahidi kuliwezesha kufanya shughuli halali za kujiingizia kipato kwa kuzingatia kuwa, tunaye Mkurugenzi wa Mashitaka anayeshughulikia makosa ya jinai, ambapo vijana ni wateja wetu, hatupendi kundi la vijana kuwepo kwenye makosa hayo, tunapompongeza sana kwa  jihata anazozichukua kwa vijana, ili wawe bizy kwenye kazi za kujenga Taifa". Amebainisha Mhe. Chana


Hata hivyo, Katibu Tawala huyo, amemkaribisha Mhe. Chana na kuahidi kumpa ushirikiano muda wote awapo mkoani Arusha, huku akifafanua kuwa, licha ya Mkuu wa Mkoa kukutana na kulitangaza kundi hilo la vijana, Ofisi yake imepanga kuwakutanisha vijana hao na watalamu wa fani mbalimbali ili kuwajengea uwezo wa kufanya kazi kupitia rasilimali zilizopo na zaidi kuwawezesha kunufaika na sekta ya utalii.

Awali, Mhe. Chana yuko mkoa Arusha kwa ziara ya kikazi ya kutembelea Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu na Watu pamoja na Mahaka ya Afrika Mashariki.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa