• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Vijana Watakiwa Kutumia Vizuri Mitandao ya Kijamii

Posted on: March 11th, 2018

Vijana nchini wametakiwa kutumia vizuri na kwa ungalifu mitandao ya kijamii, itumike hasa katika kujipatia elimu mbalimbali zakuwajenga na kuleta maendeleo.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dokta Harrison Mwakyembe alipotembele kituo cha redio cha Sunrise nakukutana na uongozi na wafanyakazi wa kituo hicho.

Amesema tayari sheria ya mtandao na kanuni zake ipo kwenye hatua za mwisho, hivyo amewataka watumiaji wa mitandao hiyo kuwa makini sana kwani sheria itakapoaanza haita mwacho yoyote ambae ataikiuka.

Nchi nyingi zinatumia hii sheria na Tanzania tulichelewa kuanza kuitumia,hivyo niwakati sasa wakuhakikisha maadili ya nchi yanazingatiwa na kufuatwa.

Pia amevitaka vyombo vya habari kufanya kazi kwa kufuata sheria na maadili ya nchi, ili kujenga vizazi vyenye kufanya kazi kwa weredi na heshima.

Aidha,amesema serikali inafanya kazi na vyombo vya habari kwa kufuata sheria ya uhuru wa habari, hivyo penye kutoa taarifa zinazowahusu wananchi itafanya hivyo ili wananchi waweze kufahamu kwa kina mambo yote yanayoendelea katika serikali yao.

Serikali ipo tayari kupokea taarifa yoyote inayokosoa kwenye mambo mbalimbali ya maendeleo na kuweza kuifanyia kazi, ili kuleta maendeleo ya nchi kwa ujumla.

Hata hivyo amesema, serikali haitafumbia macho chombo chochote cha habari kitakacho toa taarifa za uwongo na uchochezi,hivyo sheria itachukua mkondo wake.

Amesisitiza zaidi kwa wananchi wa Arusha kujifunza jinsi yakuboresha ujasiliamali ili uwe wakuwanufaisha hususani fursa za utalii na nyingine nyingi.

Dokta Mwakyembe yupo Mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ya siku 3 ambapo atafungua mkutano wa Maafisa Habari nchini,atatembelea na kukagua uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abeid na atazungumza na wadau wa utamaduni,sanaa na michezo.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa