• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA MILA RITHISHENI MILA NA DESTURI ZENU

Posted on: September 28th, 2018

Viongozi wa mila na desturi nchini wametakiwa kuhakikisha wanadumisha mila na desturi za makabila yao kama wamaasai wanavyoendeleza hasa kwa vijana.

Yamesemwa hayo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkta. Harrison Mwakyembe, alipokuwa akizungumza na viongozi wa koo za maa na rika za Marya jijini Arusha.

“Nafurahishwa sana na kabila hili la Maasai linavyoenzi na kuthamini mila na desturi zao hivyo basi rai yangu kwa viongozi wa makabila mengine kutumia ujuzi na maarifa waliyonayo kurithisha mila na desturi zao kwa vizazi vilivyopo”.

Amesema hali ya utandawazi kwa sasa inachangia kwa kiasi kikubwa kupotea kwa mila na desturi zetu kwani vijana wengi wanakimbilia kuiga mambo ya utandawazi na kusahau mila na desturi zao.

Tusipochukua hatua leo yakuwajengea hari yakupenda mila na desturi zetu tutawapoteza wote kwani wengi watazamia kwenye mambo ya usasa zaidi.

Amewahasa kulinda amani katika nchi yetu kwani serikali ipo pamoja nao na itaendelea kushirikiana na viongozi wa kimila kwa karibu sana.

Akisoma taarifa ya baraza la viongozi wa koo za maa na rika za Marya katibu wa baraza bwana Amani Lukumay, amesema eneo hilo limekuwa likitumika kwa sala na vikao vya maamuzi vya kujenga mila na desturi zao.

Na mnamo mwaka 2005 waliambiwa na serikali kusimamisha huduma hizo kwani eneo hilo limekuwa likitumika katika makazi ya watumishi wa chuo cha ufundi.

Hivyo wanaiomba serikali kutatua mgogoro huo kwani umekuwa niwa mda mrefu sana na kusababisha shughuli zao za kimila kukwama.

Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Fabian Daqarro, amewapongeza wamasai kwa kushikiria mila na desturi zao kwa mda mrefu.

Nae Mkuu wa wilaya ya Monduli  Idd Kimanta akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, amesema kwa kiasi kikubwa maendeleo ya Mkoa yamechangiwa na viongozi hao kwa kuonesha ushirikiano mkubwa kwa serikali.

Kwa upande wa serikali itaendelea kushirikiana nao bega kwa bega katika maswala mbalimbali ya kujenga mkoa na nchi kwa ujumla.

Baraza la viongozi wa koo za maa na rika za marya lilikuwa likifanya vikao vyake mara kwa mara katika eneo hilo linaloita Oreteti Loongaika katika jiji la Arusha.

 

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa