• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WADAU WA ELIMU MKOA WA ARUSHA WAMUENZI MWL.NYERERE

Posted on: October 14th, 2022

Sekta ya elimu Mkoani Arusha inaendelea kuimarika kwa kiasi kikubwa kwa kuwa na taasisi nyigi za elimu kutoka ngazi zote.

Kauli hiyo imesema na Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella alipokuwa akifungua kongamano la elimu la kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julias Nyerere.

Katik kumuenzi Mwalimu nyerere aliyeweka nguvu kubwa katika elimu Mkoa wa Arusha unaenda kufuta changamoto ya upungufu wa Madarasa kupitia Serikali ya awamu ya sita.

Amesema kwa mwaka 2022/2023 Mkoa umepokea kiasi cha  Bilioni 5.369 kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa ya sekondari 268.

Kwa upande wake, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daniel Ole Njoolay amesema jambo la kuendelea kumuenzi mwalimu kupitia elimu ni nzuri sana maana ametuachia tunu nzuri ya kutumia elimu kama nyenzo ya kujikomboa.

Nae, Professa Nuhu Hatibu kutoka Shule ya Arusha Sayansi amesema mfumo wetu wa elimu unatakiwa ujikite zaidi katika kutengeneza wabunifu na wavumbuzi zaidi kuliko watoa huduma ili waweze kwendana na dunia ya sasa.

Afisa Elimu Mkoa wa Arusha bwana Abel Ntupwa amesema ufaulu kwa Mkoa wa Arusha kwa sasa umefikia wastani wa 89-94 kwa madarasa yote ya Mitihani.

Amesema kwa upande wa elimu bila malipo kwa mwaka 2021 Mkoa uliandikisha wanafunzi takribani 57408 na mwaka 2022 wanafunzi  59476 waliandikishwa ikiwa kuna ongezeko la uwandikishaji.

Mkoa wa Arusha ili uendelee kufaulisha zaidi umejipanga  kuondoa daraja la 4 kwa   madarasa yote ya mitihani na kuboresha zaidi mazingira ya kufundishia na kufundishiwa.

Kongamano la elimu la kumuenzi Hayati mwalimu Nyerere limejumuisha wadau mbalimbali wa elimu kwa lengo la kujadili mipango mbalimbali ya kuboresha elimu Mkoani Arusha.








Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa