• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAKUU WA WILAYA WAAPISHWA

Posted on: January 31st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amewataka wakuu wa wilaya hasa wageni kwenda kusimamia zoezi la uwandikishaji wanafunzi wa awali, msingi na kidato cha kwanza katika maeneo yao.

RC Mongella ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali baada ya zoezi la kuwaapisha wakuu wapya wa Wilaya ya Arusha, Arumeru na Longido.

Amesema muongozo wa kusimamia na kuhakikisha watoto wote wanaostahili kujiunga na shule upo hivyo wakasimamie bila kuwa na huruma kwa mtu.

Aidha,amewataka wakuu hao wa Wilaya  wakawe viongozi wa kutafakari bila kukurupuka hiyo itawasaidia kuweza kufanyakazi kwa weredi.

Hata hivyo, amewataka wakawahudumie wananchi kwa ukaribi zaidi.

Amewasisitiza zaidi wakatunze mazingira katika maeneo yao kwa kupanda miti kila wakati ili kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Nae, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa (CCM) Zelothe Steven amewataka wakuu hao wa Wilaya kwenda kusimamia ilani ya CCM katika maeneo yao kwani chama ndio kinachohitaji zaidi kutoka kwao.

Pia, wakawe wanyenyekevu na watulivu kwa kutoa huduma bora kwa wananchi na hiyo itawasaidia kwenda na kasi ya Rais Samia na CCM.

Kwa upande wa Viongozi wa Dini Askofu Stanley Hotay amewashauri wakuu hao wa Wilaya wakafanye kazi zao kwa hekima maana changamoto zipo katika nafasi zao.

Akizungumza kwa niaba ya wakuu wa Wilaya walioapishwa, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Emmanuela Kaganda amesema wataenda kulinda amani katika maeneo yao kwani Mkoa wa Arusha ni kitovu cha utalii na kuna wageni wengi.

Vilevile, watashirikiana na viongozi wote wakiwemo wa Serikali, Dini na chama ili kuleta maendeleo ya Mkoa kwa pamoja.

Wakuu wa Wilaya wapya walioapishwa Mkoa wa Arusha ni Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Gasper Mtahengerwa, Marko Henry Ngu'mba Mkuu wa Wilaya ya Longido, Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Mkuu wa Wilaya ya Arumeru na Mkuu wa Wilaya ya Monduli aliye hamia Suleimani Yusuf Mwenda.






Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa