• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WALIMU MERU DC WAPATIWA MAFUNZO KABILISHI YA MITAALA ILIYOBORESHWA ELIMU AWALI NA MSINGI...

Posted on: June 9th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu Makwinya amefungua Mafunzo Kabilishi kwa Mitaala iliyoboreshwa ya Elimu ya Awali na Msingi yaliyohudhuriwa na Walimu Wakuu  shule za Awali na Msingi katika Halmashauri ya Meru.

Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo wa uelewa walimu kusimamia na kutekeleza Mitaala iliyoboreshwa kwa ngazi ya Elimu ya Awali na Msingi yanaendeshwa kwa siku mbili, yamefanyika kwenye Shule ya Msingi Imani  Kata ya Usariver.

Aidha, Makwinya amewapongeza Walimu Wakuu wa Shule za Msingi kwa utendaji kazi wao na kuwataka kutumia ofisi kama chumba cha kutatua changamoto zinazowakabili katika Shule zao.

Pia, amewataka walimu kutokata tamaa kutokana na mazingira wanayokumbana nao kwani mazingira magumu ndio yanayomuonyesha mtu utendaji kazi wake. ameyazungumza hayo akitoa ushuhuda wa yeye alivyoanza kazi mpaka alipofikia hivi sasa.

 "Mimi nimeanza kazi kulikuwa hakuna majengo kama haya nimeanza kazi nikiwa Mwalimu shule inajengwa kwa kusimikwa Miti ndio wanafunzi wanasoma lakini Leo hii niko hapa,  hivyo niwatie moyo ya kwamba mazingira unayofanyia kazi unaonekana na wakati mwingine tunapima uwezo wako" amesema Makwinya.

Hata hivyo, amewatakia Mafunzo mema na kuelekeza Mafunzo hayo yakawe tija kwa wanafunzi wetu kwa kuzalisha wanafunzi Bora na sio Bora wanafunzi.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa