• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WANAOFIKA KUPATA HUDUMA KWENYE KLINIKI YA MADAKTARI BINGWA NA WABOBEZI ARUSHA; WAENDELEA KUISHUKURU SERIKALI

Posted on: June 29th, 2024

Na Elinipa Lupembe 


Idadi kubwa ya wananchi wanomiminika kupata huduma za matibabu, zinazotolewa bure kwenye Kliniki ya Madaktari Bingwa na Wabobezi Arusha, wameendelea kuishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Hassan na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda kwa huduma hiyo muhimu ambayo imetoa fursa kwa watu wasio na uwezo wa kupata huduma hizo katika mazingira ya kawaida.


Dorah Mushi ni miongoni mwa wananchi ambaye amesema kuwa, umati huo mkubwa wa watu unaashiria namna gani wanachangamoto za kiafya na wengi wao hushindwa kumudu gharama za matibabu ya kibingwa na kukiri kuwa huduma hiyo ni njema imeonyesha upendo mkubwa hasa kwa watoto na wazee. 


Aidha, Bi. Dorah anamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa upendo na mapenzi yake makubwa kwa wanyonge na wazee, na kuthibitisha kuendelea kumuombea afya njema na maisha marefu zaidi, ili aendelee kuwafikia na kuwatumikia watanzania.


"Ebu angalia umati huu wa watu hata tukisema watibiwe wote haiwezekani, wengi wanasema tuongezewe muda lakini pia tuangalie na Madaktari wanatosha? Maana yake Madaktari wengine wamebaki Mahospitalini na waliopo hapa wamejitolea lakini watu ni wengi kupita kiasi.", ameongeza Bi. Dorah


Awali, kambi hiyo ya matibabu bure inafanyika kwa siku saba mkoani Arusha, ikiwa na mwitikio mkubwa wa wananchi wa Arusha na nje ya Arusha wenye changamoto za kiafya huku ndani ya siku tano ikionyesha mafanikio makubwa kwa wagonjwa ambao wamefika na kupatiwa huduma za matibabu, vipomo, dawa na vifaa tiba bure ambapo kwa wastani zaidi ya watu 3,500 wanahudumiwa kwa siku.


Kaulimbiu ya Kambi hiyo ya madaktari bingwa ni "Afya yako mtaji wako, kazi yetu ni kukupatia huduma bora"


Wizara ya Afya Tanzania Ummy Mwalimu Samia Suluhu Kwanza Ofisi ya Rais - Tamisemi Ofisi ya Makamu wa Rais CCM Tanzania

May be an image of one or more people, people playing soccer, crowd and text

May be an image of 1 person, crowd, dais and text

May be an image of one or more people and crowd

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • NDOTO YA RAIS SAMIA KWA ARUSHA: KUITUMIA FURSA YA UTALII KUINUA UCHUMI WA MKOA

    June 14, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Longido imeagizwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

    June 13, 2025
  • WILAYA YA KARATU YATAKIWA KUIMARISHA USAFI NA UKUSANYAJI WA MAPATO

    June 12, 2025
  • WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

    June 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa