• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAUGUZI WATAKIWA KULA KIAPO CHA KUTOA HUDUMA BORA...

Posted on: May 9th, 2024

@ortamisemi


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa @mohamed_mchengerwa amewataka wauguzi  kula kiapo cha utoaji wa huduma bora.


Waziri Mchengerwa ameyasema hayo jijini Tanga wakati wa kufungua Kongamano la kisayansi na Mkutano Mkuu wa 51 wa Chama Cha Wauguzi Tanzania.


Amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshamaliza jukumu la kujenga miundombinu, kuweka vifaa tiba, kununua, vitendanishi na kuajiri watumishi na kuwa kilichobakia huduma bora kwa wananachi.


« Mpaka sasa tuna miundombinu bora na kila kitu kinachotakiwa kwenye utoaji wa huduma lakini huduma bado ni mbovu, hamna kauli nzuri na wananchi wanalalamika, kwa kweli hili linanikosesha raha. »


« Tukifanikiwa kwenye kutoa huduma bora tutakua tumepiga hatua kubwa sana kwenye sekta ya afya, » amesisitiza.


Mhe. Mchengerwa ameongeza: « sasa msiondoke  hapa mpaka mle kiapo cha kutoa huduma bora kwa niaba ya wauguzi wengine wote walioko kwenye vituo vya kutolea huduma na mkakitendee haki kiapo kwa kufanyakazi kwa moyo na kwa mapenzi yote kwa watanzania. »


Amesema wagonjwa wanapokuja hospitalini wanahitaji faraja na msaada wa saikolojia kwa kupokelewa vizuri na kupewa maneno mazuri anaanza kupata nafuu.


«  Lakini wengine wenu hawana kauli nzuri, hawawasikilizi wagonjwa mpaka wapewe fedha  hii sio afya, kwa taaluma yenu nataka niwaone mkila kiapo cha utoaji wa huduma bora. »


Aidha, Waziri Mchengerwa alimuekeza Katibu Mkuu - TAMISEMI kuhakikisha anafanyia kazi changamoto za wauguzi zilizowasilishwa ikiwemo ile ya muundo kwa wauguzi na upandaji wa madaraja.


« Haiwezekani watu mfanyekazi ya kujitoa halafu hata madaraja hampandishwi, hii si sawa sasa naelekeza changamoto hii ifanyiwekazi na mwakani tutakapokutana tena iwe imeshafanyiwa kazi. »


Awali akiwasilisha taarifa ya Wauguzi hao Katibu Mkuu wa chama cha Wauguzi Tanzania Bw. Samson Mwangoka amesema wauguzi wana changamoto ya kutopandishwa madaraja, muundo usiotoa kipaumbele kwa taaluma na  kutokuwa na bajeti.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa