• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAZIRI WA ARDHI ATOA SIKU 90 KUKAMILISHA SHUGHULI ZA ARDHI ENEO UNAPOJENHWA UWANJWA WA MPIRA WA MIGUU ARUSHA.

Posted on: April 6th, 2024

Na Elinipa Lupembe 

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya  Makazi, Mhe.Jerry Silaa (MB), amewaagiza Wakurugenzi wa Wizara hiyo, kuweka kambi Jijini Arusha kwa ajili ya kuongeza nguvu ya kushughulikia masuala yote yanayohusu ardhi ikiwemo kuandaa mipango miji, kufanya tathmini na kutoa hati miliki za maeneo yote yanayozunguka eneo linalojengwa uwanja wa mpira wa Miguu Arusha.


Mhe. Silaa amatoa agizo hilo, alipokuwa akizungumza na wananchi, kwenye hafla ya kumkabidhi Mkandarasi eneo la kujenga uwanja huo wa mpira, hafla iliyofanyika kata ya Olmoti, jijini Arusha na kuwataka Wakurugenzi wa Upimaji na Ramani kutoka wizara ya Ardhi, kuweka kambi Jijini Arusha ili kuhakikisha wanakamilisha kazi zote zinazohusu masuala ya ardhi ndani ya siku 90 hati zote ziwe zimepatikana.


Amesema kuwa, tayari Mkandarasi ameshakabidhiwa eneo la ujenzi wa uwanja ambao mkataba wake unakamilika na kukabidhi uwanja mapema mwaka 2026, huku akisistiza kuwa, ucheleweshwaji wa aina yoyote ile, utakaosababishwa na Wizara yake hatauvumilia.


"Leo hii Serikali kupitia Wizara yenye dhamana na Michezo, imemkabidhi Mkandarasi 'site', bado kuna maeneo yanatakiwa kulipwa fidia na yapo yanayotakiwa kupimwa na kutolewa hati miliki, ili mazoezi yote yaende sambamba na ujenzi wa uwanja, ni lazima watalamu wa Ardhi watoke ofisini wahamie hapa Olmoti, watalamu wa Wizara washirikiane na watalamu wa Jiji la Arusha, ili ndani ya sku 90 kazi zote zinazohusu ardhi zikamilike" Ameagiza Mhe. Silaa


Aidha, ameongeza kuwa, Serikali ya awamu ya sita inafanya kazi kubwa sana katika kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo, kazi ya watalamu ni kuwajibika kila mmoja kwa nafasi a taaluma yake na kuhakikisha malengo ya Serikali yanafikiwa bila kuwa na kikwazo na kuongeza kuwa, mtalamu atakayeshindwa kwenda na kazi na kutimiza wajibu wake, utakaokwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo hatavumilika badala yake, mtalamu huyo atalazimika kukaa kando.


Awali, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Damian Ndumbaro amemkabidhi Mkandarasi wa eneo lamujenzi wa uwanja, Mkandarasi wa Kampuni ya CRCEG ya nchini China kwa gharama ya shilingi Bilioni 286, mradi unaotegemea kukamilika mwaka 2026.


#arushafursalukuki 




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa