• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WEKENI ALAMA YA KUITAMBULISHA NCHI KATIKA BIDHAA ZENU-MAJALIWA

Posted on: February 10th, 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amewataka wajasiriamali kote nchini kuhakikisha wanaweka mananeo ya kuitangaza nchi katika bidhaa zao.

Ametoa maagizo hayo alipokuwa akifungua maonesho ya 4 ya mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi Kanda ya Kaskazini, yaliyojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

Amesema ili nchi yetu na bidhaa zetu ziweze kutambulika zinatakiwa kutangazwa hasa kwa kuweka maneno kama vile (Made in Tanzania), ili kupata masoko na kuitangaza nchi ndani na nje.

“Ni aibu sana tuna bidhaa nzuri na bora lakini hazijulikaniki kama zinatoka katika nchi yetu”,alisema

Aidha, amelitaka baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi kuhakikisha elimu inawafikia wananchi juu ya namna mifuko hiyo inavyofanya kazi hususani kwenye masharti ya mikopo.

Mifuko mingi haijulikaniki kwa wananchi, hivyo kupitia maonesho haya elimu isambawe kwa watu ili watu waifahamu mifuko hiyo na kuwawezesha kupata mikopo kwa wigi.

Mwenyekiti wa baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi Festus Limbu        amesema ili wananchi wengi waweze kunufaika na mifuko hiyo ni vizuri ukawezeshwa ili kuwa na wigo mpana wa kuwawezesha wananchi.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joseph Mikirikiti amesema,wenye  jukumu la kuwasimamia na kuwaongoza wajasilimali ni viongozi hao wa Mkoa, Wilaya na ngazi zote za chini.

Nae, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Hassan Kimanta amesema, maonesho hayo yatatumika kama madarasa ya kutoa elimunya mfuko kwa wananchi ili fursa za uwekezaji ziweze kukua katika kanda ya Kaskazini.

Kimanta amesema, wananchi wengi wanachangamoto ya mitaji katika kuanzisha au kukuza biashara zao lakini wengi hawana uwelewa wa namna ya upatikanaji wa mikopo kutoka katika mifuko hiyo.

Hivyo, ameitaka mifuko hiyo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kuhakikisha wanatoa ushirikiano mzuri hasa katika kutoa maelezo yaliyojitosheleza kwa wananchi ili waweze kujifunza na kuielewa mifuko hiyo.

Jumla ya mifuko 54 ya kuwawezesha wananchi kiuchumi ipo Tanzania na mifuko 20 inawawezesha wananchi moja kwa moja na kiasi cha shilingi trilioni 2.2 zimetolewa kama mikopo kwa watu milioni 4.9 huku taasis 5000 zimeshanufaika kwa miaka mitano iliyopita 2015 hadi 2020.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa