• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WEKENI MIUNDOMBINU YA TEHEMA-RAS KIHAMIA

Posted on: October 28th, 2021

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Dkt. Athumani Kihamia amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Karatu bwana  Rajabu Kalia kuhakikisha wanaweka miundombinu ya  TEHAMA ya ukusanyaji mapato katika Hospitali ya Wilaya ya Karatu.

Ameyasema hayo alipokuwa akikagua ujenzi wa Hospitali hiyo na kuwataka waanze mapema kuweka mifumo hiyo wakati ujenzi unaendelea ili huduma zitakapoanza zitumie mfumo huo wa ukusanyaji mapato.

"Mkichelewa kuweka mfumo huo na huduma zikaanza mtapoteza mapato mengi sana ni bora viende sambamba vyote sasa hivi", alisema.

Aidha, Dkt. Kihamia amesisitiza kuongezwa kwa kasi ya ujenzi wa Hospitali hiyo ili waweze kukamilisha baadhi ya majengo ambayo bado kama vile jengo la utawala na maabara.

Amewataka wakasimamie kwa ukaribu zaidi kwa kushirikiana na wakuu wa idara kwani Serikali imetoa fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.7 ikiwa ni kutoka Serikali kuu na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro.

Mwenyekiti wa halmshauri ya Karatu Mhe. John Mahu amesema kukamilika kwa Hospitali hiyo kutasaidia huduma za Afya kusogea karibu kwa wananchi na kupunguza hadha ya wagonjwa wengi kupelekwa mbali.

Ameaidi kwenda kushirikiana na madiwani wengine wa Halmashauri hiyo kuhakikisha ujenzi huo unakamilika kwa haraka.

Dkt. Kihamia amefanya ziara ya siku moja ya kukagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Karatu baada ya kasi ya ujenzi kuwa ndogo na hivyo kupelekea kutokamilika kwa wakati.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa