• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WILAYA YA NGORONGORO YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI.

Posted on: June 11th, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Missaile Albano Musa ameipongeza halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kwa kuhahakikisha wanakusanya vema mapato ikiwemo matumizi sahihi ya bakaa katika miradi mbalimbali ya maendeleo na kusisitiza mikopo ya asilimia kumi ya fedha hizo zitengwe ili kuwezesha wanawake, vijana na makundi maalum kupata mikopo



Musa ametoa pongezi hizo wakati wa kikao maalum cha Baraza la Madiwani wilaya ya  Ngorongoro cha kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo halmashauri hiyo imepata hati safi.



 "Kusanyeni fedha na miradi ya maendeleo itekelezeke, nawapongeza kwa kupata hati safi na kuendelea kupunguza hoja mpaka kufikia hoja tisa ( zikiwemo zile za kisera) lakini ni lazima kuzitafutia majibu ili zifutwe." Amesema Katibu Tawala huyo.



Naye Mkurugenzi wa halmashauri ya Ngorongoro, Murtalla Mbilu amesema kuwa siri ya mafanikio hayo ni usimamizi mzuri na kutekeleza maelekezo na maagizo ya uongozi wa Mkoa pamoja Mkaguzi na Mdhibiti wa hesabu za Serikali pamoja na kuzuia ubadhirifu, ufisadi na uzembe kwa watumishi na kuongeza ushirikiano.



Amesema halmashauri hiyo imekusanya zaidi ya shilingi bilioni 3 ambayo ni zaidi ya asilimia 100 katika sekta mbalimbali kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa mwaka huu wa fedha



Aidha, Mkaguzi  Mkuu wa Nje Mkoa Mkoa wa Arusha, Valence  Rutakyamirwa licha ya kuipongeza halmashauri hiyo kwa kuweka uwiano mzuri na majibu ya hoja kwa ufanisi ikiwemo kupata hati safi ya ukaguzi,  ameitaka halmashauri hiyo kuhakikisha madeni ya  wakandarasi waliotoa huduma ya vyakula shuleni na wazabuni yanalipwa kwa wakati.

May be an image of 1 person

May be an image of 2 people and dais

May be an image of 6 people, people studying, dais and text

May be an image of 9 people, people studying and text

May be an image of 1 person, dais and text

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI ATEMBELEA OFISI ZA CCM MKOA WA ARUSHA..

    July 02, 2025
  • RC KIHONGOSI AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI NA MILA; ASISITIZA KUOMBEA AMANI..

    July 02, 2025
  • RC KIHONGOSI: ARUSHA IWE SEHEMU SALAMA YA UPENDO, AMANI NA MSHIKAMANO...

    July 01, 2025
  • UAPISHO

    July 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa